Cybercrime
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 3,246
- 1,114
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwi kwi kwi kwi!!!!!!!Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na Mwenyekiti wa Kata ya Nkwandurua Wilaya ya Arumeru , Samwel Shami pamoja na takriban Vijana 1,000 wa kata hiyo wamehamia Chama cha ACT-Wazalendo.
Source:Raia Tanzania.
View attachment 280078
Gazeti gani hilo lilioandika habari hizo??? Kumbe ni Rai Mwema tehe tehe.
Ni Raia Tanzania, sio Raia Mwema.
Dr Slaa, wewe u mzalendo wa kweli..! Uliposema Lowasa fisado, kweli ulinaanisha na umekuwa radhi kulala njaa kuulinda ukweli huo. Lakini usijali, Tinga tinga linaanzisha mahakama ya majizi na mafisadi, kwa hiyo yeyote an anayejitapa mtaani kuwa wampeleke mahakamani basis mahakama hiyo inakuja, akajiandae kunyea debe.
Ni Raia Tanzania, sio Raia Mwema.
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na Mwenyekiti wa Kata ya Nkwandurua Wilaya ya Arumeru , Samwel Shami pamoja na takriban Vijana 1,000 wa kata hiyo wamehamia Chama cha ACT-Wazalendo.
Chanzo: Raia Tanzania.
View attachment 280078