Wafuasi takribani 1,000 wa CHADEMA Arumeru wahamia ACT-Wazalendo

huyu shami kapambana na nasari muda mrf ameona hafanikiwi kaona asepe tu
 
Hili gazeti naliamini san; ndo lililosema slaa ajiuzuru chadema; watu wakatukana sana wakasusa na kulinunua; sasa kiko wapi?
 
WardPopulation (Number)Number of HouseholdsAverage Household SizeSex Ratio
Both SexesMaleFemale
Nkoanrua18,5208,9619,5594,3194.3
POPULATION OF NKOANRUA, BY SEX, NUMBER OF HOUSEHOLDS, AVERAGE HOUSEHOLD SIZE AND SEX RATIO
 
Kwa haya maigizo watahama wengi


sisi sio wote wajinga au marofa- wakiwa mawaziri wanagawana viwanja , watoto wao wanaajiliwa kwa memo

leo ; nazunguka dar - huijui - na kwanini leo

nakunywa chai na mama ntilie- mama ntilie wameanza kazi leo

napanda bodaboda - mwezi huu wa uchaguzi


come with strong argument so people can judge on it .
 
ina maana vijana wote wa hiyo kata wamehama au soma takwimu kwanza then jenga hoja
 
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na Mwenyekiti wa Kata ya Nkwandurua Wilaya ya Arumeru , Samwel Shami pamoja na takriban Vijana 1,000 wa kata hiyo wamehamia Chama cha ACT-Wazalendo.

Chanzo: Raia Tanzania.
View attachment 280078

Hilo nalo ni gazeti la kufanya kuwa ni chanzo cha habari?wacha kutania watu
 
Dr Slaa, wewe u mzalendo wa kweli..! Uliposema Lowasa fisado, kweli ulinaanisha na umekuwa radhi kulala njaa kuulinda ukweli huo. Lakini usijali, Tinga tinga linaanzisha mahakama ya majizi na mafisadi, kwa hiyo yeyote an anayejitapa mtaani kuwa wampeleke mahakamani basis mahakama hiyo inakuja, akajiandae kunyea debe.

Duu mwaka huu tutashuhudia familia ya kifalme ikifikishwa mahakamani
 
Kwa haya maigizo watahama wengi


sisi sio wote wajinga au marofa- wakiwa mawaziri wanagawana viwanja , watoto wao wanaajiliwa kwa memo

leo ; nazunguka dar - huijui - na kwanini leo

nakunywa chai na mama ntilie- mama ntilie wameanza kazi leo

napanda bodaboda - mwezi huu wa uchaguzi


come with strong argument so people can judge on it .

Huu usanii atamfanyia Regina Lowasa siyo watanzania.
 
Kwa ufupi kusema vijana elfu kata ya NKOANRUA inaharamisha habari nzima.

Mhuni mmoja aliyekosa nafasi ya kugombea asitufanye majuha.

Kuitisha kikao yenye watu 20 alishindwa hao elfu kawatoa wapi

Mkuu kwanza hilo gazeti lenyewe ni zaidi ya komedi
 
Back
Top Bottom