Hizi njaaa hizi,zitawaua vijana,yaani mnasubili mpaka kiongozi wenu anabambikiwa kesi ndio mnajitokeza kupinga,kwanini haya hamkuyaongea kwenye mikutano yenu ya live hivi karibuni,Wasikilize mwenyewe wajumbe wa baraza kuu la chadema wanaotoka mkoa wa Dar es Salaam walichokisema wao kuhusu katiba ya chama chao...
Hata Mbowe alikuwa mwana CCMMbona hawa ni Wahuni wa uvccm ?!!!
Bora wamejitokeza....
Ifikie mahala CHADEMA wairekebishe katiba yao iwe kidemokrasia zaidi kabla ya kutaka mambo MAKUBWA ya Katiba ya JMT.....
#ChademaWaibadilisheKatibaYao
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Hakuna kitu hapa,ni bongo muvi za ccm tu,Hawa wataitwa kila jina, lakini kiukweli wameonesha kukomaa zaidi kisiasa kuliko wale wenye dhamana ya kitaifa ya kuongoza Chadema.
Ninajua Mbowe na washirika wake wa karibu hawawezi kukubaliana na ushauri wa hawa vijana, kwasababu agenda ya Katiba Mpya ndiyo kichaka au ngao wanayoitumia (kujikinga dhidi ya tuhuma za makosa ya jinai zinazowakabili) kwa kuwahadaa watu kwamba wanabambikizwa kesi kwa vile wanajihusisha na harakati za kudai katiba mpya. Nonsense!
..kulikuwa na tatizo gani UV-CCM kujitokeza na kuwa-challenge CDM kuhusu katiba ya chama chao?
..wakati tunakuwa tulikuwa tunaambiwa UV-CCM ndiyo jeuri ya chama, sasa leo inashangaza wanaogopa kujitokeza na kupambana kwa hoja na vyama vya upinzani.
Hao ni ccm tu,hizi cheap propaganda tumezizoea,Kwenye mkutano huo wamesisitiza kuwa katiba ya chama chao ina mapungufu mengi na kusema ifanyiwe marekebisho kabla hata hawajadai katiba mpya ya Tanzania...
VIONGOZI WA CHADEMA WAPINGANA VIKALI NA MBOWE KUHUSU DAI LA KATIBA MPYA.
Viongozi na Wanachama wa CHADEMA wakiongozwa Mkuu wa Kanzidata ya CHADEMA-Kanda ya Kati Ndugu Mackdeo Shilinde wamepingana vikali na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe kuhusu madai yake ya Katiba Mpya...
Tumewasikia, ila makamanda huwa si wa kupambana na mbwa bali mwenye mbwa.Kwenye mkutano huo wamesisitiza kuwa katiba ya chama chao ina mapungufu mengi na kusema ifanyiwe marekebisho kabla hata hawajadai katiba mpya ya Tanzania...
Utopololism mpaka mleta mada...Wasikilize mwenyewe wajumbe wa baraza kuu la chadema wanaotoka mkoa wa Dar es Salaam walichokisema wao kuhusu katiba ya chama chao...
Lakini hawa hawakukamatwa sio?VIONGOZI WA CHADEMA WAPINGANA VIKALI NA MBOWE KUHUSU DAI LA KATIBA MPYA.
Viongozi na Wanachama wa CHADEMA wakiongozwa Mkuu wa Kanzidata ya CHADEMA-Kanda ya Kati Ndugu Mackdeo Shilinde wamepingana vikali na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe kuhusu madai yake ya Katiba Mpya...
🤣🤣Kwenye mic pale wewe ni yupi #1 au #2?
kwani mtu haruhusiwi kubadili chama? Kutoka CCM kwenda CHADEMA?Hawa ni vibaka wa uvccmView attachment 1869278
Nakubaliana na ww kuwa si chadema.Je hizo hoja ni za kweli au uongo?takataka za CCM, hii haiwasaidii, Unadhani wanachadema hawaji wanachama wao? haya ni manyani ya CCM na Twitter yamewekwa na uniform za CCM.
labda madelu hajakufanyia kazi ndiyo maana unapost utopolo, madelu mpe kitu kikali atulie
Sijui huwa ni upofu, mapenzi au ujinga? Au dawa?Malofa 320 wa AFRIKA YA KUSINI walipoteza ROHO ZAO kumpigania Mh.Zuma asiende JELA miezi 15.....
Mh.Zuma ana miaka 79....
Hatari.....Sijui huwa ni upofu, mapenzi au ujinga?? Au dawa??
Hao vinyago ni wanachama hai wa CCM.kwani mtu haruhusiwi kubadili chama?? Kutoka CCM kwenda CHADEMA??