Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Tunko, ntundu na kateka ukimla na chikanda ukachanganya na uuchi inakuwa tamu sana. Utamu wake usiupimie wakumwitu!
Tehe tehe eeh!!! Mkuu Chikanda ni cha kipekee, inabidi kiliwe pekee bila ya kuchanganya na hao akina tunko na kateka.