MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Ndugu wana JF,
Ninafanya utafiti kuhusu wafasiri na wakalimani Tanzania kwa lengo la kufahamu ukubwa wa soko la ajira au huduma hizi hapa nchini. Kusudio kuu la utafiti huu ni kuandaa mtaala wa fani ya tafsiri kitaalamu kwa kiwango cha digrii.
Kwa hiyo ninaomba kama mtu ni mfasiri na/au mkalimani, au kama unamfahamu yeyote yule tuweze kewasiliana kwa kubadilishana mawazo.
Mchango wowote utathaminiwa sana.
Asanteni
Ninafanya utafiti kuhusu wafasiri na wakalimani Tanzania kwa lengo la kufahamu ukubwa wa soko la ajira au huduma hizi hapa nchini. Kusudio kuu la utafiti huu ni kuandaa mtaala wa fani ya tafsiri kitaalamu kwa kiwango cha digrii.
Kwa hiyo ninaomba kama mtu ni mfasiri na/au mkalimani, au kama unamfahamu yeyote yule tuweze kewasiliana kwa kubadilishana mawazo.
Mchango wowote utathaminiwa sana.
Asanteni