Hahahha wewe jamaa sijui umewaza Nini Aisee, Wengine huongezewa Malipo ya ziada ujue ya ule mtandao pendwa unajua wanawake akili zao wanazijua wenyewe!Kazi kubwa mshahara mdogo...
Anaachaje kuumia wakati wewe uko bize kufariji wake wa wenzio😂😂😂Huyo wako jihadhari, itabidi uache kumuumiza ili asihitaji faraja ya mtu baki.
Kumbe ndio mnajiita wafariji. Nahisi pia watu wa aina hii wapo wa jinsia zote mbili.
Nimewahi kukutana na mwanadamu ambaye kwa kweli ni entertainer, utapenda. Ilinichukua \
Upo Dodoma mkuu unipigie hiyo pasi mkaaKuna singo maza namfariji full kunipa zake zote mpaka inafikia point naona habakizi kitu.
Ni muajiriwa mpya kaja kuanza kazi Happ ofisini na alikotoka kashapigwa chini yupo tu na mtoto.
Mimi nishao, nilikua nataka nimle ila kwa maumivu alopitia nikahairisha maana sitaki kumuongezea maumivu mengine.
Bas tu saivi namfariji huku mate yananitoka sijui itakuwaje maana shetwani na yeye Ana nguvu.
Haya mfuasi endelea kuvuta bangiWewe ndie blood fuckin mkuu mimi ni mfuasi wako tu..
Jamaa kazungumza vizuri tu mbona umemtukana?Kwa vile yupo humu jf, na kwa vile wewe ni mgawaji, nitakuunganisha naye ili akufuate PM umpe hilo tunda wewe bloody fu*n
Kumbe ndio mnajiita wafariji. Nahisi pia watu wa aina hii wapo wa jinsia zote mbili.
Nimewahi kukutana na mwanadamu ambaye kwa kweli ni entertainer, utapenda. Ilinichukua muda mfupi sana kumzoea na kuanza kucheza mdundo wake.
Wanakuaga na wivu balaaHiz mambo sio nzuri unaweza jikuta unavunja na mahusiano yako kisa kufariji mtu mwingne
Yan wanahis kuwa wenzao wanafaidi sana kuwazidiWanakuaga na wivu balaa
Hiyo inaitwa kufarijiana.Shida ipo hapo, we unafariji wa wenzio na wako kuna mtu anamfariji