mwananchit
JF-Expert Member
- Oct 13, 2008
- 242
- 296
Serikali inawakata wafanyakazi karibia 30% ya mapato yao ya kila mwezi kama kodi ya kichwa (PAYE) ili ijinunulie magari ya kifahari ya viongozi na pia matibabu nje ya nchi. Sasa serikali inataka kujipa mamlaka ya kumiliki na kutumia kadri ipendavyo, fedha za wafanyakazi wanazokatwa na kuingizwa kwenye mifuko ya jamii kiasi cha 20%. Kwa kifupi, serikali inataka kutia kibindoni nusu tya mshahara wa mfanyakazi (50%) wa kila mwezi badala ya kuangushia nguvu zake kwenye vyanzo vingine kama madini, utalii nk-HII DHULUMA HAIKUBALIKI.
Naomba LHRC ianzishe account ya M-PESA au TIGO PESA ili wafanyakazi waweze kuchangia kidogo gharama za uendeshaji wa hiyo kesi.
Naomba LHRC ianzishe account ya M-PESA au TIGO PESA ili wafanyakazi waweze kuchangia kidogo gharama za uendeshaji wa hiyo kesi.