Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Nawauliza watumishi wa umma ambao wana miaka 6,7,8,9 kazini bila kupandishwa vyeo wana sababu gani ya kuendelea kuichagua CCM?Kumbuka sheria inatamka mtumishi kupanda cheo kila baada ya miaka 3.
Acheni ujinga ni wakati wa kuwatia adabu hawa watu.
Acheni ujinga ni wakati wa kuwatia adabu hawa watu.