Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Hivi majitu majingamajinga kama hili yanatokea wapi? hv hili jamaa haliwezi kuona kuwa wanafanzi ni wengi hvo hakuna nafasi ya kuweza kuwacomodate palke chuo? wanafanzi kufanyiwa usajili jamhuri inawasaidia nini ccm au inasaidiaje ccm? acheni ugando wa fikra wajinga nyie!!!!
kwanini wasifanye registration kwa kila college ili kurahisha zoezi?.
Ndan ya college wanatenga kwe departments, itasaidia zaidi.