Wafanyakazi walipwe mshahara kwa awamu mbili kupunguza ukali wa maisha

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,540
46,080
Kukabiliana na hali ngumu na ukali wa maisha napendekeza wafanyakazi wote walio katika mfumo rasmi wa ajira Tanzania walipwe kwa awamu mbili(2) kwa mwezi badala ya moja kama wanavyolipwa sasa.

Mshahara wa mfanyakazi ugawanywe alipewe katikati ya mwezi na mwisho wa mwezi. Hii itasaidia kuwakoa wafanyakazi wa ngazi za chini kama walimu ambao ndio wengi zaidi kujiingiza katika mikopo ya kinyonyaji. Pia ulipaji kwa awamu mbili utachochea sana shuguli za uchumi kwa kuongeza kasi ya mzunguko wa pesa kupkatika uchumi.
 
Kukabiliana na hali ngumu na ukali wa maisha napendekeza wafanyakazi wote walio katika mfumo rasmi wa ajira Tanzania walipwe kwa awamu mbili(2) kwa mwezi badala ya moja kama wanavyolipwa sasa.

Msahara wa mfanyakazi ugawanywe alipewe katikati ya mwezi na mwisho wa mwezi. Hii itasaidia kuwakoa wafanyakazi wa ngazi za chini kama walimu ambao ndio wengi zaidi kujiingiza katika mikopo ya kinyonyaji. Pia ulipaji kwa awamu mbili utachochea sana shuguli za uchumi kwa kuongeza kasi ya mzunguko wa pesa kupkatika uchumi.
Naunga mkono pendekezo lako ni muhimu sana izingatiwe hilo.
 
Kuna kaukweli fulani hapa maana watu tunapokea kalaki sita ila week hiyohiyo ya kwanza yaani hata mwezi hujaisha tayari huna hela...

Bora upewe nusu utumie week ya mwisho uishe mwezi ukianza huna kitu ila unakuwa na matumaini kwamba tarehe saba nina ka laki tatu kengine cha kumwagilia moyo

Pumbafu
 
Kukabiliana na hali ngumu na ukali wa maisha napendekeza wafanyakazi wote walio katika mfumo rasmi wa ajira Tanzania walipwe kwa awamu mbili(2) kwa mwezi badala ya moja kama wanavyolipwa sasa.

Msahara wa mfanyakazi ugawanywe alipewe katikati ya mwezi na mwisho wa mwezi. Hii itasaidia kuwakoa wafanyakazi wa ngazi za chini kama walimu ambao ndio wengi zaidi kujiingiza katika mikopo ya kinyonyaji. Pia ulipaji kwa awamu mbili utachochea sana shuguli za uchumi kwa kuongeza kasi ya mzunguko wa pesa kupkatika uchumi.

Jifunze kubajeti kijana, kwani wasiolipwa mishahara au wasio na kazi wanaishije?
 
Kukabiliana na hali ngumu na ukali wa maisha napendekeza wafanyakazi wote walio katika mfumo rasmi wa ajira Tanzania walipwe kwa awamu mbili(2) kwa mwezi badala ya moja kama wanavyolipwa sasa.

Msahara wa mfanyakazi ugawanywe alipewe katikati ya mwezi na mwisho wa mwezi. Hii itasaidia kuwakoa wafanyakazi wa ngazi za chini kama walimu ambao ndio wengi zaidi kujiingiza katika mikopo ya kinyonyaji. Pia ulipaji kwa awamu mbili utachochea sana shuguli za uchumi kwa kuongeza kasi ya mzunguko wa pesa kupkatika uchumi.
Hii ni point ya msingi sana. Zamani ilikuwa ngumu sababu ya kupanga foleni, lakini siku hizi ni kompyuta tu. Kama una biashara, utaona inachangamka mwisho wa mwezi tu siku zingine imedoda. Hili litasaidia sana uchumi.
 
Back
Top Bottom