Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,480
- 30,152
- Thread starter
- #561
Dr Mihogo amelazimika kukimbilia Marekani na 'mchumba' wake Mushumbusi, baada ya kuona ule mkakati wake wa kuibomoa Ukawa akishirikiana na washirika wake wa Sisiem ukiwa umebuma.Mh Dr kaona aibu kakimbilia Marekani.God is great hakika kamvua nguo padri.Mungu awasaidie whistle blowers