rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,183
- 20,144
hivi ni msako gani wanaofanya kila wakifika wahusika wanajificha ni vyema jukumu la utoaji vibali uachiwe wizara moja kama uhamiaji ndio wanatoa vibali wanaweza kusema vibali hivyo ni feki jukumu la wizara ya kazi ni kuhakikisha kama kazi zinazofanywa na wageni ni kweli watanzania hawana sifa
Lazima tuige wenzetu wa nchi nyingine ni mgeni wa aina gani anaruhusiwa kufanya kazi kwenye nchi hizo na sio kupora ajira kama inavyofanyika hivi sasa
Lazima tuige wenzetu wa nchi nyingine ni mgeni wa aina gani anaruhusiwa kufanya kazi kwenye nchi hizo na sio kupora ajira kama inavyofanyika hivi sasa