Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yatasindikizwa na ving'ora na hata bara bara zinaweza kufungwa kabisa.Si maandamano yalizuiwa ama kwa serikali ni sawa ila kwa upinzani ni haramu?? Je intellijensia haijaona dalili za viashiria vya umwagaji damu???
Wanaoisoma namba ni wezi, mafisadi na wazembe,sio wote.Tafadhali acha kebehi.ACHA TU WASHIRIKI ILA NAO WANAISOMA NAMBA KWELI KWELI
Nchi iko na Rais mmoja tu hii huo udouble standards sijui shule ulisomea nini aisee.Tanzania,the great home of political double standards!
Dah kwa kweli inakera sana mambo ya hii nchi ndio maana kipa nkijaribu kuswali kwa ajili ya mtukufu napata kigugumiziHayo yatasindikizwa na ving'ora na hata bara bara zinaweza kufungwa kabisa.