Wafanyakazi wa serikali kusherehekea Christmas bila mishahara?

Tikerra

JF-Expert Member
Sep 3, 2008
1,702
146
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mpaka kufikia leo tarehe 24 December 2008, wafanyakazi wa serikali hawajapata mishahara yao.Wengi wanaonekana kukerwa na hatua hii ya serikali,huku wakihoji kwa nini serikali imewafikisha hapo huku ikijua wazi kwamba kesho ni mwanzo wa sikukuu ya kusherehekea kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo,yaani Christmas."Mwezi uliopita serikali ilipa mishahara kuanzia tarehe 19, iweje mwezi huu washindwe?Huu ni uzembe tu!" Walionekana wakilalama wafanyakazi."Serikali haijali kabisa wafanyakazi wake,sasa katika hali kama hii, ufisadi utakwishaje?'',waliendelea.Ninaunga mkono kwa asili mia moja hoja za wafanyakazi hawa,hasa ikizingatiwa kwamba mimi mwenyewe ni mfanyikazi wa serikali.Si busara kwa serikali kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara yao mapema hasa katika kipindi "sensitive" kama hiki,yaani kipindi cha Christmas,tena bila maelezo yeyote.Sasa wafanyakazi waieleweje serikali yao,ni kuwakomoa au vipi?
 
Huo ni uhuni wa watu wachache mafisadi wa hazina ambao hawapendi kuwaona wenzao wakisherehekea sikukuu kwa sababu wao wameshapata hela zao za kifisadi. Hii tabia za kiselfish miongoni mwa watendaji wetu serikalini sijui itaisha lini.
 
This is serious indeed. Automatically hawawezi kusheherekea sikukuu hii ya Xmas kwa sababu mfukoni hakuna kitu! Ni majonzi makubwa kama kweli serikali imeamua kuwafanyizia watumishi wake.
 
It is very sad to hear that, considering these are to only days where people forgets the pain of the whole year and feels the joy of X-mas and New Year.
 
Kama wanategemea mishahara kusheherekea Krismas, wanafanya nini baada yake? Labda serikali inawafanyia favour kuwakumbusha kuwa kuna maisha baada ya sikukuu!
 
Fundi watoto wamezoea pilau, soda na nguo mpya nyakati za sikukuu achia mbali kwenda coco beach!
 
Mama.

Kinachotisha ni kuwa watu wanategemea mshahara ili waweze kupika pilau, kununua soda na nguo za mtumba! Kwa wenzetu zawadi za Krisimasi zinakuwa zinanunuliwa mapema tu na hawangoji mwezi desemba (ingawa si wote wanaofanya hivi). Kila mtu anajua siku ya krisimasi, kwa nini mipango isifanywe mapema? Serikali kwa kutoa mishahara mapema wakati wa sikukuu wanaendekeza hii tabia.
 
ndo mambo wenyewe hayo hata makampuni mengine yanayobabaisha nayo hayajalipa mishahara,,,,ndo dunia ya tatu ambapo malalamiko ya chura hayamzuii ng'ombe kunywa maji na mshahara unaonekana kama 'favour' na wafanyakazi nao uenda hivyo hivyo tu wakilalamika na kumalizia 'Mungu atasaidia' hiyo ndio nchi tuliyonayo ya waliosiosoma.
 
Mama.

Kinachotisha ni kuwa watu wanategemea mshahara ili waweze kupika pilau, kununua soda na nguo za mtumba! Kwa wenzetu zawadi za Krisimasi zinakuwa zinanunuliwa mapema tu na hawangoji mwezi desemba (ingawa si wote wanaofanya hivi). Kila mtu anajua siku ya krisimasi, kwa nini mipango isifanywe mapema? Serikali kwa kutoa mishahara mapema wakati wa sikukuu wanaendekeza hii tabia.

Serikali huwa haitoi tu mishahara mapema, bali pia hutoa mikopo midogo midogo ya kuwawezesha watumishi wake kusherehekea vyema sherehe za mwisho wa mwaka. Kawaida imekuwa kama sheria, serikali imewazoesha watumishi wake hilo, ni vema ingewaambia mapema sio kusubiri dakika za mwisho kihivi.

Fundi, mishahara huwa haitoshi wakati wote, hivyo wako wanaoweza kumudu kudunduliza vijisenti kila mwisho wa mwezi baada ya kupeleka watoto shule (July). Kumbuka kuna kulipa madeni na mambo mengine ya kufanya kabla ya msimu wa sikukuu December na pia maandalizi ya kupeleka watoto shule January.

Mshahara wa shilling Tshs 180,000/= kabla ya makato kwa mwalimu wa sekondari au chini ya hapo kwa mwalimu wa shule ya msingi. Huu haukidhi kabisa mahitaji ya msingi wa familia inayosomesha watoto wanne, achia mbali shangazi, mjomba na familia zao wanaokulilia shida huko kijijini, nauli ya kwenda kazini, kumbuka maji ni ya kununua (dawasco wameshindwa kazi), umeme bei juu (kuna makato ya VAT na ya EWURA katika kila unit ya umeme unayonunua) kuna kuugua, kodi ya pango n.k. Wenye nyumba wengi siku hizi wanataka kodi ya kuanzia miezi sita hadi mwaka!

It is complicated. Tunasurvive tu hivyo hivyo!
 
Utajiju mwaka huu, na bado utakereka sana mwaka ujao. La, waweza omba nipewe permanent server ban ili utulie na kuacha kubaka threads kwa kunitusi bila sababu za msingi.
 
Mama.

Kinachotisha ni kuwa watu wanategemea mshahara ili waweze kupika pilau, kununua soda na nguo za mtumba! Kwa wenzetu zawadi za Krisimasi zinakuwa zinanunuliwa mapema tu na hawangoji mwezi desemba (ingawa si wote wanaofanya hivi). Kila mtu anajua siku ya krisimasi, kwa nini mipango isifanywe mapema? Serikali kwa kutoa mishahara mapema wakati wa sikukuu wanaendekeza hii tabia.
Fundi umesema cha kweli kabisa. Inabidi nasi tuwe na mipango na sio tungojee mpaka sikukuu zikikaribia kama hizi ndio tungojee hii mishahara yetu kwa mambo ya kufurahia
 
Fundi umesema cha kweli kabisa. Inabidi nasi tuwe na mipango na sio tungojee mpaka sikukuu zikikaribia kama hizi ndio tungojee hii mishahara yetu kwa mambo ya kufurahia


How?
Bahati mbaya sikukuu hizi ziko mwisho wa mwezi! ambapo katika hali ya kawaida maisha huwa magumu siku hizi.
 
Kwa kuwa na mipango ya muda mrefu pindi mwaka unapoaanza. Tusiendelee na tabia kama hizi za kuishi kwa historia. Tubadilike manake maisha ya mtanzania pia yanabadilika kila kukicha. Hakuna siku hali itakuwa nzuri. Toka nimezaliwa mpaka nazeeka nasikia huu wimbo wa hali ngumu. sasa tusipobadilika katika mipango yetu ya vipaumbele ndio tutakuwa tukilalamika kama hali kama hii ikitokea tena wakati mwingine
 
Anhaaa...Painkiller kumbe upo na unaona huu upuuzi. Kwa kuchekeachekea makunyanzi hujambo. Ingekuwa mimi nimepost upumbavu huu ungeshafuta post husika within seconds. Lakini huyo kima wako unamchekeachekea kama vile anayofanya ni mazuri! Kama hii inaruhusiwa iweke wazi hapa nijue na kudance with the rythm, siwezi kuendelea kukiangalia hiki kitoto kikinidhalilisha hapa na kunyamaza.


 
Anhaaa...Painkiller kumbe upo na unaona huu upuuzi. Kwa kuchekeachekea makunyanzi hujambo. Ingekuwa mimi nimepost upumbavu huu ungeshafuta post husika within seconds. Lakini huyo kima wako unamchekeachekea kama anayofanya ni mazuri! Kama hii inaruhusiwa iweke wazi hapa nijue na kudance with the rythm, siwezi kuendelea kukiangalia hiki kototo kinanidhalilisha hapa na kuendelea kunyamaza.


Ur right Mama.....kafuta yangu pia lakini hii kaiacha
Kaoge kwanza, okay?
Mimi mgeni
 
Anhaaa...Painkiller kumbe upo na unaona huu upuuzi. Kwa kuchekeachekea makunyanzi hujambo. Ingekuwa mimi nimepost upumbavu huu ungeshafuta post husika within seconds. Lakini huyo kima wako unamchekeachekea kama anayofanya ni mazuri! Kama hii inaruhusiwa iweke wazi hapa nijue na kudance with the rythm, siwezi kuendelea kukiangalia hiki kototo kinanidhalilisha hapa na kuendelea kunyamaza.



Mama, I'm saddened to see you feel that way. If only you could have waited another 3 minutes before you posted the above. I am a human being besides all shenanigans going around these forums. My first response to everything is acknowledgement to alerts be it by thanking an individual or abrupt deletion of an offending post, thereafter administrative procedures have to be taken. But if I am in a middle of something else that makes me a human being, three minutes wait could be interpreted as above. Either way I can understand your anguish and only be apologetic. It therefore goes without saying, I am sorry if you felt that way by me thanking one of the members for trying to talk down the situation. Happy Holidays Mama !
 
Kwa kuwa na mipango ya muda mrefu pindi mwaka unapoaanza. Tusiendelee na tabia kama hizi za kuishi kwa historia. Tubadilike manake maisha ya mtanzania pia yanabadilika kila kukicha. Hakuna siku hali itakuwa nzuri. Toka nimezaliwa mpaka nazeeka nasikia huu wimbo wa hali ngumu. sasa tusipobadilika katika mipango yetu ya vipaumbele ndio tutakuwa tukilalamika kama hali kama hii ikitokea tena wakati mwingine


Tutaanzaje kubadilika? is this impelementable from no where? Je unajua kuwa maelfu ya wanaTanzania wanapolala hawajui kesho watakula nini achia mbali tu uhakika wa kupata kifungua kinywa?

Nauliza tena how ? Japo utoe mistari miwili mitatu kuelezea jinsi ambavyo watanzania wataanza kubadilika na kuwa na mipango ya kueleweka. How?
 
Back
Top Bottom