Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Jamani hii nimepata kali sasa hivi: Jamaa yangu kutoka New Habari (inayomilikwa na fisadi RA) sasa hivi kaniarifu kwamba wafanyakazi wote pale wameamua kumpigia kura Dr Slaa siku ya Jumapili – na hiyo wanaifanya siyo siri tena.
Wanasema wamechoshwa kucheleweshewa mishahara mara nyingine baada ya siku 60 au zaidi ndiyo wanalipwa, tena nusu nusu.
Wanasema magazeti hayauzi kwa sababu ya headline zisizokwenda na wakati na RA mwenyewe hata haonyeshi kujali hilo.
Wanasema RA mwenyewe ana watu wake pale kama watatu tu ndiyo wanaoweka stori anazopenda yeye.
Mambo hayo!!!
Wanasema wamechoshwa kucheleweshewa mishahara mara nyingine baada ya siku 60 au zaidi ndiyo wanalipwa, tena nusu nusu.
Wanasema magazeti hayauzi kwa sababu ya headline zisizokwenda na wakati na RA mwenyewe hata haonyeshi kujali hilo.
Wanasema RA mwenyewe ana watu wake pale kama watatu tu ndiyo wanaoweka stori anazopenda yeye.
Mambo hayo!!!