Koala
Member
- Aug 28, 2011
- 97
- 107
Habarini za mchana wana jamvi.Naombeni niilete hii kama kero. Na siku zinvyozidi kwenda naona inakuwa kero kubwa. Kwa wale wanaotumia usafiri wa mwendo kasi hapa Jijini Dar nadhani wameshawaona hawa wafanyakazi wa vituoni ambao wanakaa ktk mageti ya kuingilia na kutokea vituoni.
Wafanyakazi hawa hukaa ktk zile mashine za ambazo tunascan card au tiketi.
Mwanzoni wakati huduma hii inaanza walikuwa msaada kwa wengi ambao walikuwa hawajui matumizi.
Ila kwa sasa naona wanakuwa kero.Ksbb. kwanza wanaziba mahali pa kuscan maana wanaweka viti na kukaa ktk kijisehemu cha kuscan na kuingia kituoni.
Pili watumiaji wengi wanajua matumizi ya scanner, tatu hii ajira yao ni ya muda gani,maana kama ni ya kudumu Je,shughuli yao milele itakuwa kukaa hapo na kusaidia kuscan card za usafiri.
Wahusika naomba mlifanyie kazi jambo hili maana imekuwa usumbufu.
Wafanyakazi hawa hukaa ktk zile mashine za ambazo tunascan card au tiketi.
Mwanzoni wakati huduma hii inaanza walikuwa msaada kwa wengi ambao walikuwa hawajui matumizi.
Ila kwa sasa naona wanakuwa kero.Ksbb. kwanza wanaziba mahali pa kuscan maana wanaweka viti na kukaa ktk kijisehemu cha kuscan na kuingia kituoni.
Pili watumiaji wengi wanajua matumizi ya scanner, tatu hii ajira yao ni ya muda gani,maana kama ni ya kudumu Je,shughuli yao milele itakuwa kukaa hapo na kusaidia kuscan card za usafiri.
Wahusika naomba mlifanyie kazi jambo hili maana imekuwa usumbufu.