Huo ni uzushi na uzandiki mkubwa sana,na pia mtu huyu mchafuaji hafai ktk jamii,kama umekuta tukio kwanini usipige picha?kama kweli wewe ni mwanahabari uliyesomea?Kuwa na maadili ya kiuanahabari acha ukanjanja then askari huwapo kila siku asubuhi ofisini kwa ajili ya parade na kutawanywa kwenye malindo,Unaemsema kaingia mitini si ukweli hata kidogo maana alikuwapo ofisin,na hakuna suala la madai ya miezi minne.
Angalizo:Msipende kuzungumzia kitu msichokuwa na uhakika nacho NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK NYAMBAFFFFFFFFFFF
Angalizo:Msipende kuzungumzia kitu msichokuwa na uhakika nacho NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK NYAMBAFFFFFFFFFFF