Kitungamirwa
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 344
- 105
Wafanyakazi wa gazeti la CCM linaloitwa uhuru wamegoma kufanya kazi baada ya kudhurumiwa mishahara yao kwa muda wa miezi mitano mfululizo.
Wafanyakazi hao wameamua kugoma baada ya kutolipwa mishahara yao na CCM kwa muda wa miezi mitano mfululizo.
Moja ya wafanyakazi wa gazeti hilo amesema anasikitishwa sana na uongozi wa chama hicho kushindwa kuwalipa mishahara kwa muda wa miezi mitano wakati chama hicho tawala kinapokea zaidi ya bilioni 1.3 kwa mwezi pesa ya ruzuku.
Mfanyakazi huyo aliendelea kuongea kuwa pesa hizo zinaliwa na viongozi wa juu wachache wanajenga majumba ya kifahari na magari ya kifahari huku sisi wanatuambia tuandike habari za propoganda za kuichafua UKAWA wakati huo hatulipwi mishahara hii ni haki?alihoji mfanyakazi huyo.
Lakini wafanyakazi hao waliwarushia lawama nyingi baadhi ya viongozi wa chama kuwa wanatumia madaraka yao vibaya kuendesha taasisi hiyo kama ya kwao binafsi.
My take:
Kama CCM ina uwezo wa kuwadhurumu wafanyakazi kwenye chama chao, Je itakuwaje kwa wafanyakazi wa serikali?
Kama wafanyakazi wa CCM wamedhurumiwa wewe mkulima ulikopwa mahindi na serikali ya CCM.
Je utalipwa?polisi na wanajeshi wastafu mtapata haki zenu kweli kama tu chama tawala kinadhurumu haki za wafanyakazi wa cham chake?
Sasa wewe kijana ambaye hela tu ya kununua MB za internet umeomba kwa wazazi unaishabikia CCM ata bila kujua ccm ina madhara gani endelea utajuta siku ukiwa na majukumu.
Wafanyakazi hao wameamua kugoma baada ya kutolipwa mishahara yao na CCM kwa muda wa miezi mitano mfululizo.
Moja ya wafanyakazi wa gazeti hilo amesema anasikitishwa sana na uongozi wa chama hicho kushindwa kuwalipa mishahara kwa muda wa miezi mitano wakati chama hicho tawala kinapokea zaidi ya bilioni 1.3 kwa mwezi pesa ya ruzuku.
Mfanyakazi huyo aliendelea kuongea kuwa pesa hizo zinaliwa na viongozi wa juu wachache wanajenga majumba ya kifahari na magari ya kifahari huku sisi wanatuambia tuandike habari za propoganda za kuichafua UKAWA wakati huo hatulipwi mishahara hii ni haki?alihoji mfanyakazi huyo.
Lakini wafanyakazi hao waliwarushia lawama nyingi baadhi ya viongozi wa chama kuwa wanatumia madaraka yao vibaya kuendesha taasisi hiyo kama ya kwao binafsi.
My take:
Kama CCM ina uwezo wa kuwadhurumu wafanyakazi kwenye chama chao, Je itakuwaje kwa wafanyakazi wa serikali?
Kama wafanyakazi wa CCM wamedhurumiwa wewe mkulima ulikopwa mahindi na serikali ya CCM.
Je utalipwa?polisi na wanajeshi wastafu mtapata haki zenu kweli kama tu chama tawala kinadhurumu haki za wafanyakazi wa cham chake?
Sasa wewe kijana ambaye hela tu ya kununua MB za internet umeomba kwa wazazi unaishabikia CCM ata bila kujua ccm ina madhara gani endelea utajuta siku ukiwa na majukumu.