Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Baada ya mashine kuacha kutumika hivi ndivyo wafanyakazi wanavyoliibia taifa
Zile tiketi zinazokuwa zimechanwa kwa juu zinarudishwa pale wanapokatia tiketi na sasa unapewa tiketi ikiwa imeshakatwa ukiuliza kwanini wanasema tumechania humu ndani
Swali kwanini mchanie ndani?
Kwanini vituo vingine kuna mtu pembeni anachana?
Vituo vinavyotoa tiketi zilizochanwa tayari ambazo zinarudiwa na watu kula pesa ni kuanzia
Shekilango mpaka Kimara Mwisho hii ni pamoja na Bucha Korogwe, Kona na vingine
Serikali mliangalie hili tusijelalamika tena na tena ikawa aibu
Zile tiketi zinazokuwa zimechanwa kwa juu zinarudishwa pale wanapokatia tiketi na sasa unapewa tiketi ikiwa imeshakatwa ukiuliza kwanini wanasema tumechania humu ndani
Swali kwanini mchanie ndani?
Kwanini vituo vingine kuna mtu pembeni anachana?
Vituo vinavyotoa tiketi zilizochanwa tayari ambazo zinarudiwa na watu kula pesa ni kuanzia
Shekilango mpaka Kimara Mwisho hii ni pamoja na Bucha Korogwe, Kona na vingine
Serikali mliangalie hili tusijelalamika tena na tena ikawa aibu