Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,277
- 8,492
- Thread starter
- #61
Shigongo anatuletea machangudoa eti wafanyakazi wamesema, huyu changu kabisa namfahamu hushinda pale kinondoni makaburini, kwa wakazi wa kinondoni tembelea kuanzia saa 2 usiku utamkuta buku tu. HATUDANGANYIKI.
Mkuu Quinine, labda hawa ni wafanyakazi wa zile ajira zisizo rasmi kama Uchangudoa.