255Texter
Senior Member
- Aug 31, 2007
- 150
- 8
Huyu Shigongo ni wa kumpuuza. Anajipendekeza kwa JK baada ya kushindwa katika kura za maoni akiwa na lengo la kutaka ateuliwe kwenye nafasi 10 za uteuzi za raisi. Lakini amebugi step kwa sababu sehemu kubwa ya wafanyakazi wamechoshwa na usanii wa Kik-wete na Kapu-ya wake and when it's all said and done, ni Dr Slaa ndiye ataibuka mshindi. Kwa hiyo Bw. Shigongo kama utapata huu ujumbe, nakushauri ungeanza kujigonga kwa Dr. Slaa pengine utapata moja ya hivyo viti 10 vya kuteuliwa.