Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,564
- 15,919
Tupo wengi,tumeumia serikali ya ccm ilikosa ubinadamu kwa sisi tuliokuwa watumishi.kwa kutufukuza bila huruma na bila hata kifuta jasho.
Ikumbukwe kwa muda wote tuliokuwa tunafanya kazi shughuli zilienda na wengine tulipewa mpaka vyeti vya ufanyakazi bora.lakini yote hayo hayakuonekana.
Shime! Huu ni wakati wetu sasa Kumkata kama alivyotukataaa.
Imetolewa na Muungano wa wafanyakazi wa serikali Tuliofukuzwa kikatili bila huruma na serikali ya ccm.
Ikumbukwe kwa muda wote tuliokuwa tunafanya kazi shughuli zilienda na wengine tulipewa mpaka vyeti vya ufanyakazi bora.lakini yote hayo hayakuonekana.
Shime! Huu ni wakati wetu sasa Kumkata kama alivyotukataaa.
Imetolewa na Muungano wa wafanyakazi wa serikali Tuliofukuzwa kikatili bila huruma na serikali ya ccm.