CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 352
Wafanyakazi wa toyota branch la tanzania wamegoma, moja ya sababu ni mshahara mdogo sana waolipwa wafanyakazi wakitanzania. Huku wafanyakazi kutoka india na other experts, walikilipwa ma milion ya hela. Hii ni muendelezo wa wafanyakazi wakitanzania kuendelea kunyonywa ndani ya nchi.