Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Katika hali inakanganya kabisa yaelekea TLR na TAZARA wana meneja masilahi mmoja na wamechoshwa na utawala wake wa kiimla wa kupuulizia mbali masilahi ya wafanyakazi...................sasa wamemzuia asikanyage ofisini na huku wakishinikiza aondolewe mara moja.................