Wafanyakazi poleni sana lakini tija ya kazi ni kama hakuna!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,295
24,129
Jana na juzi mitandaonii imekuwa na malalamiko mengi ya nyongeza kiduchu katika mishahara.

Watu walitegemea mabulungutu ya bure kutoka serikalini.
Nasema ni ya bure kwa sababu ofisi nyingi kama siyo zote, HAKUNA utendaji wenye tija.
Ingekuwa ofisi za serikali, watumishi wakahamishiwa ofisi za biashara binafsi ,pengine wengi wangelipwa nusu tu cha wanacholipwa sasa.

Daktari ambaye angeweza kuwaona wagonjwa 70 kwa siku pengine anawaona 20 au 25.
Mhandisi wa wilaya ambaye angekagua kwa kina miradi mitano kwa siku anakagua mmoja na siku imeisha.
Meneja Utawala mwenye uwezo wa kushughulikia mafaili 50 kwa siku anashughulikia mafaili 5 hadi 10.
Wafanyakazi hawasimamiwi na wengine wana ED za daktari nyingi tu, au hawafiki kabisa kazini kwa sababu ambazo ni porojo tu.

Sasa hapo productivity kwa ujumla inaweza kuwa only 40% na watu wanataka nyongeza kubwa tu.

Hili haliwezekani kabisa hadi tija iongezeke ingalau 80-90%.

Nchi zilizoendelea wana put in masaa mengi tu ya kazi, productivity nzuri na hivyo mishahara kuwa mizuri.

Kama Taifa tujitathmini.
 
Ni rahisi tu ukiona mshahara haukutoshi acha kazi na utafute kazi yenye mshahara mzuri jamani hakuna alie lazimishwa kufanya kazi , huwezi mlazimisha bosi akulipe pesa nyingi wakati uwezo wa kukulipa pesa nyingi Hana .
Lakini uwezo wa kununua ndege kwa kesh kwa matriloon anao. Cha kuhuzunisha ndege hizo zinajiendesha kwa hasara na anazidi kuongeza ruzuku kwenye ATCL.

Tatizo ni political will hamna na mfumo batili wa chama tawala.
 
Jana na juzi mitandaonii imekuwa na malalamiko mengi ya nyongeza kiduchu katika mishahara.

Watu walitegemea mabulungutu ya bure kutoka serikalini.
Nasema ni ya bure kwa sababu ofisi nyingi kama siyo zote, HAKUNA utendaji wenye tija.
Ingekuwa ofisi za serikali, watumishi wakahamishiwa ofisi za biashara binafsi ,pengine wengi wangelipwa nusu tu cha wanacholipwa sasa.

Daktari ambaye angeweza kuwaona wagonjwa 70 kwa siku pengine anawaona 20 au 25.
Mhandisi wa wilaya ambaye angekagua kwa kina miradi mitano kwa siku anakagua mmoja na siku imeisha.
Meneja Utawala mwenye uwezo wa kushughulikia mafaili 50 kwa siku anashughulikia mafaili 5 hadi 10.
Wafanyakazi hawasimamiwi na wengine wana ED za daktari nyingi tu, au hawafiki kabisa kazini kwa sababu ambazo ni porojo tu.

Sasa hapo productivity kwa ujumla inaweza kuwa only 40% na watu wanataka nyongeza kubwa tu.

Hili haliwezekani kabisa hadi tija iongezeke ingalau 80-90%.

Nchi zilizoendelea wana put in masaa mengi tu ya kazi, productivity nzuri na hivyo mishahara kuwa mizuri.

Kama Taifa tujitathmini.
Wewe bwege mpiga zumari ,taratibu unaanza kuzinduka ?,endelea na mapambio yako ya mama anaupiga mwingi,pathetic
 
Kikubwa usisahau kukiwamba mali za umma, mtu unaamka kila siku saa 12 kuwai dawati la Huduma kwa wateja. Afu mbunge ambaye analala hovyo hovyo anapokea million 11 hadi miezi asiyofanyia kazi.

Tujitahidi kuhujumu tuu
 
Ni rahisi tu ukiona mshahara haukutoshi acha kazi na utafute kazi yenye mshahara mzuri jamani hakuna alie lazimishwa kufanya kazi , huwezi mlazimisha bosi akulipe pesa nyingi wakati uwezo wa kukulipa pesa nyingi Hana .
Mlivyo na majibu mnaokula kwa mrija, Waziri tu gari analotembelea achilia mbali gharama yake bali running cost yake linaweza kulipa mshahara walimu 600.mtu mbinafsi kama wewe huwezi tambua hili kwa kuwa unakula mema ya nchi hii...
 
Ungeanza na wanasiasa kwanza eg Wabunge/Madiwani. Je,Hawa Wana tija ya maana ktk majukumu Yao?
Hao ni wapiga debe tu wa maneno mengi.
Wangeingia katika shughuli ya jinsi ya nchi kujitoa katika mediocre working culture, wangekuwa wamefanya kazi yao.
 
Wewe si ndio moja ya wale wapumbavu wanaosifia hovyo humu jf?

Ushauri: kama una kakitengo sehemu dili la hela likija piga ondoka,
mkuu umesahau mapambio yako kwa mfalme aliye pita Leo unashauli upigaji kweli Zama zinabadilika
 
CCM ni kigenge Cha matapeli watupu ukianzia na JUMUIYA zake zote;-
(1) Jumuiya ya vijana (UV CM) yaani Hawa ni KAZI wanazoweza fanya ni uchawa tu kama huko TISISIEMU,POLISISIEMU,TAKOKURU, au skijiona ana akili atataka KUTEULIWA AWE DED, DC, RC mtu mwenyewe hata ukimpa shamba Eka Moja la viazi avune aviuze hawezi.
(2) jJumuiya ya wanawake (UwT) Hicho kimejaa wanawake wanaofikiria UBIKIRA WAO ulitoka kwa kukosa ViCOBA vyenye nguvu kilichobaki ni kuvaa shanga kiunoni wapewe uteuzi vitu maaluumu bungeni, udiwani nkhuyo mwanamke anashauri serikali ifufue vazi la batiki kwa wanawake watz
(3) Jumuiya ya wazazi hawa waz3e ni janga sana inakiacha chama Chao hicho kinalea watoto WAO kwa kuwaita na kuwafanya wawe wanyonge, machinga na wanaacha MPAKA hao machinga na wanyonge wanaundiwa wizara kabisa.
CCM ilitaka kuimgiza kingi wakulima na wafanya
 
CCM ni kigenge Cha matapeli watupu ukianzia na JUMUIYA zake zote;-
(1) Jumuiya ya vijana (UV CM) yaani Hawa ni KAZI wanazoweza fanya ni uchawa tu kama huko TISISIEMU,POLISISIEMU,TAKOKURU, au skijiona ana akili atataka KUTEULIWA AWE DED, DC, RC mtu mwenyewe hata ukimpa shamba Eka Moja la viazi avune aviuze hawezi.
(2) jJumuiya ya wanawake (UwT) Hicho kimejaa wanawake wanaofikiria UBIKIRA WAO ulitoka kwa kukosa ViCOBA vyenye nguvu kilichobaki ni kuvaa shanga kiunoni wapewe uteuzi vitu maaluumu bungeni, udiwani nkhuyo mwanamke anashauri serikali ifufue vazi la batiki kwa wanawake watz
(3) Jumuiya ya wazazi hawa waz3e ni janga sana inakiacha chama Chao hicho kinalea watoto WAO kwa kuwaita na kuwafanya wawe wanyonge, machinga na wanaacha MPAKA hao machinga na wanyonge wanaundiwa wizara kabisa.
CCM ilitaka kuimgiza kingi wakulima na wafanyakazi muñgu ibariki wakulima walistuka siku nyingi mfano tu uzalishaji wa alizeti , yaani serikali vita ya Ukraine imefichua siri mafala walionasa na kubaki kwemye ulimbo wa CCM ni wafanyakazi
na kazi kubwa wanayofanya kutengeneza DATA za uwongo za kuisaidia CCM utasikia mapato yamepaa serikali imekusanya asilimia 105 Leo wamegeziwa kibao wamebaki KUTUBWEKEA BWEKEA Huku JF wenzao tupo bize kuhakikisha tume ya Mukandala na Zitto inazimwa Ili tupate katiba mpya iliyo barabarani Ile Warioba, na kuichunguza Ile tume mpya ya CHANDE na SEFUE ifanikiwe kuifumua PCCB
 
👇😁😁😁
072638.jpg
 
Ni rahisi tu ukiona mshahara haukutoshi acha kazi na utafute kazi yenye mshahara mzuri jamani hakuna alie lazimishwa kufanya kazi , huwezi mlazimisha bosi akulipe pesa nyingi wakati uwezo wa kukulipa pesa nyingi Hana .
Ndiyo walivyokutuma hivyo? Bwege Nini.Miaka 6 hakuna nyongeza, Maisha juu halafu jitu utadhani limetoka chooni ukiona huwezi acha kazi, acha kwanza wewe mwehu mkubwa
 
Wewe si ndio moja ya wale wapumbavu wanaosifia hovyo humu jf?

Ushauri: kama una kakitengo sehemu dili la hela likija piga ondoka,
Akili ikiwa bongolala miaka yote hata almasi ikiwa chini ya ardhi mita mbili, ninyi ndio mnaomba mchimbiwe hiyo almasi halafu mlipwe mshahara.

Hapa bongo ninyi bongolala ndio tunaowapenda maana unanizalishia 200% na nakulipa kiduchu kwa wewe kutoona fursa.
 
Back
Top Bottom