Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,277
- 8,492
Nahakikisha watu wote wanaoishi kwa kutegemea hiki kijimshahara changu kutoka kwa JK na mimi mwenyewe hatumpigii Kura CCM na Kikwete.
1. Alizikataa mwenyewe,
2. Alisema atatutumia Polisi watuchape tukiandamana
3. Kasababisha mfuko mkubwa wa bei
4. Analea mafisadi
5. Hayuko serious na vitu vya maana kitaifa
6. Kateua wasaidizi wanaomdanganya
7..............................etc
1. Alizikataa mwenyewe,
2. Alisema atatutumia Polisi watuchape tukiandamana
3. Kasababisha mfuko mkubwa wa bei
4. Analea mafisadi
5. Hayuko serious na vitu vya maana kitaifa
6. Kateua wasaidizi wanaomdanganya
7..............................etc