Simba mnyama JF-Expert Member Jul 14, 2012 348 129 Jul 31, 2012 #61 Nami sijapata hadi leo. Hakuna chakula nyumbani, watoto wamefukuzwa shuleni sababu ya ada, mwenye nyumba anahitaji kodi ya pango, yaani hali ni mbaya!
Nami sijapata hadi leo. Hakuna chakula nyumbani, watoto wamefukuzwa shuleni sababu ya ada, mwenye nyumba anahitaji kodi ya pango, yaani hali ni mbaya!