William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
Im glad to this point, we are on the same level, ingawa jana ulisema otherwise, lakini, hakijaharibika kitu.
Jana nilisema kuwa wafanyakazi wa Serikali, yaani Federal na state kule US na UK, hawaruhusiwi kugoma, isipokuwa tu migomo inaruhusiwa kwenye Private kama ulizozitaja leo, hivyo vitengo viwili ukigoma unakuwa umejifukuza kazi mwenyewe,
lakini muajiri Private, anaruhusiwa kuwafukuza waajiriwa wake waliogoma na kukataa kurudi baada ya yeye kutoa deadline ya wao kurudi kazini, au kuajiri wengine temporary wakati ameweka offer kwenye table ya UNIONS,
Otherwise, naomba ku-retire sasa, ahsante mkuu!