...i dont like politics kwenye issue zenye maslahi pande zote kama hii na sitaki serikali iingilie kimabavu is just one company Vs wafanyakazi 900...sheria ifanye kazi yake tuone nani mwenye haki,hapo ndio utajua kama wafanyakazi wanajua kuweka fight ya kweli au ni unafiki mwingine tuu...haki yao iko mahakamani watafute lawyer mzuri na waendelee kugoma au kurudi mezani for more negotiations