Wafanyakazi 650 wafyekwa Kenya Airways (KQ)

Sort of Vampires blood sacking their own children, I can nearly imagine how much sufferings they go through, poor Kunyans. Turned out to be refugees in their own country.
65% of their economy is owned by foreign individuals and Multinationals,
KQ besides being owned by Private shareholders KLM amongst, it owns 3 Aircrafts out of 40+ fleet they operate,
Meaning higher cost of operations leading to massive losses on annual bases,
Black Kenyans are cheap labour in their underdeveloped manufacturing industry and Multinationals companies, including the British multinational owned Tea plantations, horticulture export industry and Hospitality Bussiness,
Hata ardhi ya Kenya inamilikiwa na Wanasiasa akiwemo uhuru Kenyatta Family na Wazungu.
What a desperate Nation,
But Kenyans speak Good English though.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
65% of their economy is owned by foreign individuals and Multinationals,
KQ besides being owned by Private shareholders KLM amongst, it owns 3 Aircrafts out of 40+ fleet they operate,
Meaning higher cost of operations leading to massive losses on annual bases,
Black Kenyans are cheap labour in their underdeveloped manufacturing industry and Multinationals companies, including the British multinational owned Tea plantations, horticulture export industry and Hospitality Bussiness,
Hata ardhi ya Kenya inamilikiwa na Wanasiasa akiwemo uhuru Kenyatta Family na Wazungu.
What a desperate Nation,
But Kenyans speak Good English though.

Sent using Jamii Forums mobile app
This is really very sad situation, it’s very unfortunate that even after going through that path, still they’re being deceived by plastic smiles shown by white folks along with their local thuggish politicians.

English has always been their great weapon used against us while they know that it is a third prioritized language here in Tanzania. Tunaanza na lugha zetu za asili, then Swahili... English my ass.....
 
This is really very sad situation, it’s very unfortunate that even after going through that path, still they’re being deceived by plastic smiles shown by white folks along with their local thuggish politicians.

English has always been their great weapon used against us while they know that it is a third prioritized language here in Tanzania. Tunaanza na lugha zetu za asili, then Swahili... English my ass.....
Lugha za asili my ass, unafikiria tz hatuijui vizuri..
Kwn siku hizi mumeacha kuwakejeli wale ambao wanaongea kikabila hko mijini na kuwaona km washamba vile
 
Lugha za asili my ass, unafikiria tz hatuijui vizuri..
Kwn siku hizi mumeacha kuwakejeli wale ambao wanaongea kikabila hko mijini na kuwaona km washamba vile
Hao wanaokejeli ni minority, Tz majority wapo shamba mkuu, pia hao wanaokejeli ndio wale wale wenye kaexposure ka kikenya..... with Boldest fonts “English my ass”
 
65% of their economy is owned by foreign individuals and Multinationals,
KQ besides being owned by Private shareholders KLM amongst, it owns 3 Aircrafts out of 40+ fleet they operate,
Meaning higher cost of operations leading to massive losses on annual bases,
Black Kenyans are cheap labour in their underdeveloped manufacturing industry and Multinationals companies, including the British multinational owned Tea plantations, horticulture export industry and Hospitality Bussiness,
Hata ardhi ya Kenya inamilikiwa na Wanasiasa akiwemo uhuru Kenyatta Family na Wazungu.
What a desperate Nation,
But Kenyans speak Good English though.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume mzima with ndevu anatoa wapi hii uongo wote kama a FEMALE without blinking.
Bila facts ni story kama novel.
 
KQ Maiti.jpg


Buriani KQ
Tulikupenda lakini mafisadi walikupenda zaidi. Maana wakawa wanalipa fedha ya kukodi ndege kwa (watu) wasiojulikana.
 
KQ is a Walking Dead.
_
Lakini zoezi hili limekuwa na kasoro nyingi. Moja ni gharama kuwa juu karibu mara mbili kulinganisha na mashirika mengine. Lakini wamelazimika kulipa kwa sababu serikali imezuia kurudi kwa ndege nyingine isipokua ATCL kwa kile kinachoitwa Uzalendo.
Pili, mwezi mmoja uliopita wahitimu walitakiwa kutuma nakala za passport zao ili waandaliwe tiketi. Wakatuma na wakawa wanasubiri itinerary ili kupewa tiketi.
Juzi wakapokea ujumbe kutoka Ubalozi wetu China, kwamba ATCL imefanya makosa mengi kwenye tiketi. Wamekosea spelling, Lulu Kicheere ameitwa Lulu Kicheche. Wamekosea jinsia, John kaandikwa Female na Prisca Male. Wamekosea tarehe za kuzaliwa. Kuna waliozaliwa 1890 kabla ya vita vya Majimaji. Wamekosea mpangilio wa majina na makosa mengine mengi.
ATCL walipotakiwa kufanya marekebisho walidai muda uliobaki usingetosha kurekebisha makosa yote. Kama walipewa mwezi mzima wakafanya makosa mengi hivi, wangewezaje kurekebisha kwa siku mbili.
Kwahiyo ubalozi wetu China ikabidi uandae orodha ya majina itakayotumiwa na wasafiri. Jana Ubalozi umesema ticket za ATCL hazitatumika kama kigezo pekee cha kusafiri bali abiria watahakikiwa kupitia orodha ya majina iliyoandaliwa na ubalozi huo.
Jiulize, hivi tupo serious na biashara ya usafiri wa anga? Kama mwezi mzima ATCL wameshindwa kuandaa tiketi, tena kwa safari moja, je safari zikiwa kila siku itakuaje? Tumebaki kusifu idadi ya ndege, kumbe hatuna uwezo hata wa kuandaa tiketi? Leo watu wanapanda ndege kama daladala? Hakuna hata boarding pass, unakaa siti yoyote iliyo wazi kama mabasi ya Bukene Nzega. Aibu gani hii?
Kumbuka Nyerere aliacha shirika likiwa na ndege nyingi sana, lakini likafilisika kwa sababu ya management mbovu. Sasa tunarudi kulekule?
 
Hii propaganda na upotoshaji unayo copy na kupaste mbona ilishatolewa ufafanuzi kitambo!

Ufafanuzi wa Balozi Kairuki kuhusu Wanafunzi wa Kitanzania kuchukuliwa na Ndege ya ATCL

_
Lakini zoezi hili limekuwa na kasoro nyingi. Moja ni gharama kuwa juu karibu mara mbili kulinganisha na mashirika mengine. Lakini wamelazimika kulipa kwa sababu serikali imezuia kurudi kwa ndege nyingine isipokua ATCL kwa kile kinachoitwa Uzalendo.
Pili, mwezi mmoja uliopita wahitimu walitakiwa kutuma nakala za passport zao ili waandaliwe tiketi. Wakatuma na wakawa wanasubiri itinerary ili kupewa tiketi.
Juzi wakapokea ujumbe kutoka Ubalozi wetu China, kwamba ATCL imefanya makosa mengi kwenye tiketi. Wamekosea spelling, Lulu Kicheere ameitwa Lulu Kicheche. Wamekosea jinsia, John kaandikwa Female na Prisca Male. Wamekosea tarehe za kuzaliwa. Kuna waliozaliwa 1890 kabla ya vita vya Majimaji. Wamekosea mpangilio wa majina na makosa mengine mengi.
ATCL walipotakiwa kufanya marekebisho walidai muda uliobaki usingetosha kurekebisha makosa yote. Kama walipewa mwezi mzima wakafanya makosa mengi hivi, wangewezaje kurekebisha kwa siku mbili.
Kwahiyo ubalozi wetu China ikabidi uandae orodha ya majina itakayotumiwa na wasafiri. Jana Ubalozi umesema ticket za ATCL hazitatumika kama kigezo pekee cha kusafiri bali abiria watahakikiwa kupitia orodha ya majina iliyoandaliwa na ubalozi huo.
Jiulize, hivi tupo serious na biashara ya usafiri wa anga? Kama mwezi mzima ATCL wameshindwa kuandaa tiketi, tena kwa safari moja, je safari zikiwa kila siku itakuaje? Tumebaki kusifu idadi ya ndege, kumbe hatuna uwezo hata wa kuandaa tiketi? Leo watu wanapanda ndege kama daladala? Hakuna hata boarding pass, unakaa siti yoyote iliyo wazi kama mabasi ya Bukene Nzega. Aibu gani hii?
Kumbuka Nyerere aliacha shirika likiwa na ndege nyingi sana, lakini likafilisika kwa sababu ya management mbovu. Sasa tunarudi kulekule?
 
Back
Top Bottom