tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Wafanyakazi wa kilimo Kama 30 - 40 wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo wamekamatwa na kuwekwa ndani baada ya kunyimwa mshahara wa January kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro baada ya kupewa kufanya kazi ya kukusanya ushuru katika vijiji tofauti na kuwasilisha mapato Kama walivyoelekezwa wakati wanakabidhiwa hiyo kazi
Cha kushangaza ni kwamba Watumishi wamefanya kazi kwa uwaminifu mkubwa na kukabidhi mapato Kama walivyotakiwa lakini inaonekana Kuna viongozi wa juu wamefanya ubadhirifu wa hizo fedha na kuwasingizia Watumishi wa chini ambao wana taarifa zao zote kikazi kwa maana ya Kila wakifanya kazi wanakabidhi taarifa zao kwa wakubwa wao.
Sasa wanasakwa na Polisi kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na kulazimishwa kulipa Kila mmoja kitu ambacho kinaleta ulakini kwa wale waliofanya kazi kwa uwaminifu mkubwa.
Kuna umuhimu wa vyombo vya juu kuangalia namna ya kufanya Watumishi wa chini waipende Serikali yao kuliko hivyo inavyofanywa kwa kuwaonea baadhi ya Watumishi waaminifu na wanyonge
Nimejitahidi kufanya mawasiliano na viongozi wa Wilaya na mkoa ktk hilo sakata lakini simu zao hazipokelewi na zingine
Updates
Wafanyakazi wote yaani maafisa ugani wameachiwa huru juzi usiku baada ya kuhojiwa na wapelelezi kutokana mkoani Morogoro na kubaini irregularities nyingi Sana ktk ukusanyaji na makabidhiano ya hizo pesa kiasi cha kupanga jinsi ya kuwahoji viongozi wakuu wa Halmashauri ili kubaini ukweli wake zoezi zima
Ila maafisa ugani wote inasemekana watahitajika kufika Tena Makao makuu ya Halmashauri tarehe iyopangwa Kati ya tarehe 3 au 4.
Cha kushangaza ni kwamba Watumishi wamefanya kazi kwa uwaminifu mkubwa na kukabidhi mapato Kama walivyotakiwa lakini inaonekana Kuna viongozi wa juu wamefanya ubadhirifu wa hizo fedha na kuwasingizia Watumishi wa chini ambao wana taarifa zao zote kikazi kwa maana ya Kila wakifanya kazi wanakabidhi taarifa zao kwa wakubwa wao.
Sasa wanasakwa na Polisi kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na kulazimishwa kulipa Kila mmoja kitu ambacho kinaleta ulakini kwa wale waliofanya kazi kwa uwaminifu mkubwa.
Kuna umuhimu wa vyombo vya juu kuangalia namna ya kufanya Watumishi wa chini waipende Serikali yao kuliko hivyo inavyofanywa kwa kuwaonea baadhi ya Watumishi waaminifu na wanyonge
Nimejitahidi kufanya mawasiliano na viongozi wa Wilaya na mkoa ktk hilo sakata lakini simu zao hazipokelewi na zingine
Updates
Wafanyakazi wote yaani maafisa ugani wameachiwa huru juzi usiku baada ya kuhojiwa na wapelelezi kutokana mkoani Morogoro na kubaini irregularities nyingi Sana ktk ukusanyaji na makabidhiano ya hizo pesa kiasi cha kupanga jinsi ya kuwahoji viongozi wakuu wa Halmashauri ili kubaini ukweli wake zoezi zima
Ila maafisa ugani wote inasemekana watahitajika kufika Tena Makao makuu ya Halmashauri tarehe iyopangwa Kati ya tarehe 3 au 4.