OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
ATM na tawi la benki kama yalivyo matawi mengine ya kawaida. Tawi ni duka kama maduka mengine ya kawaida kwa hiyo huwezi kukusanya pesa kwa watu ili wakuwezeshe ufungue duka. Ukija upande wa Agency Banking, yule anayetaka kuwa agent anakalamia vifaa vyote, na vifaa hivyo vipo kama hizo EFD za TRA.
Sasa kama duka ndio mfano wa agency banking je mwenye duka aliomba kuwa agent wa TRA??!!!!
Au analazimishwa na haoni faida ndio maana.anagoma??!!!!
Nimekuuliza ATM ikipelekwa wilayani manunuzi huchangiwa na halmashauri husika???!!