John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,373
Baadhi ya wafanyabiashara wa Soko la Mbuyuni katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wameiomba serikali kuunda tume ya kuchunguza chanzo cha moto ulioteketeza maduka matatu katika eneo la Stendi ya Mboya, huku wakidai tukio hilo ni njama.
Wafanyabiashara hao wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai kuunda tume hiyo itakayokuja na majibu ya uhakika kuhusu chanzo cha moto huo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi Simon Maigwa alithibitisha ajali hiyo ya moto ilitokea Februari 15, 2022.
Wafanyabiashara hao wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai kuunda tume hiyo itakayokuja na majibu ya uhakika kuhusu chanzo cha moto huo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi Simon Maigwa alithibitisha ajali hiyo ya moto ilitokea Februari 15, 2022.