Tetesi: Wafanyabiashara Wakubwa Arusha kuhojiwa!!!!

mpiga domo

JF-Expert Member
Apr 30, 2013
852
1,502
Habari wakuu,

Kuna taarifa ambazo sina uhakika nazo nimezipata kutoka Arusha kwamba kuna wafanyabiashara wamechukuliwa kwa siri kuletwa huku Dar kwa mahojiano.

Je kuna taarifa zozote za ukweli kuhusu hili mwenye nayo atujuze.
Hizi taarifa nasikia zimetapakaa mkoani humo kwamba wafanyabiashara kama Olotu, Lema na Minja wameletwa Dar kwa mahojiano.

Mwenye taarifa kamili atujuze kama ni kweli ama ni uzushi tuu uliotapakaa.
Asanteni.
 
Habari wakuu,

Kuna taarifa ambazo sina uhakika nazo nimezipata kutoka Arusha kwamba kuna wafanyabiashara wamechukuliwa kwa siri kuletwa huku dar kwa mahojiano.

Je kuna taarifa zozote za ukweli kuhusu hili mwenye nayo atujuze.

Hizi taarifa nasikia zimetapakaa mkoani humo kwamba wafanyabiashara kama Olotu, Lema na Minja wameletwa dar kwa mahojiano.

Mwenye taarifa kamili atujuze kama ni kweli ama ni uzushi tuu uliotapakaa.

Asanteni.

Wameletwa au kuitwa Dar na nani na akina nani hao wanaowahoji????????
 
Wameletwa au kuitwa Dar na nani na akina nani hao wanaowahoji????????
Mimi sijui mkuu nani amewakamata kwa hayo mahojiano.

Ila tetesi zinasema ni kwa kuhujumu uchumi.

Wenye taarifa sahihi watujuze ili tusije kuwa'defame hawa wafanyabiashara na kuwaharibia reputation yao.
 
Mimi sijui mkuu nani amewakamata kwa hayo mahojiano.

Ila tetesi zinasema ni kwa kuhujumu uchumi.

Wenye taarifa sahihi watujuze ili tusije kuwa'defame hawa wafanyabiashara na kuwaharibia reputation yao.
Hao wafanyabiashara wapo kwenye sekta gani? Yawezekana ni ile issue ya millioni saba kila dakika!
 
Hao wafanyabiashara wapo kwenye sekta gani? Yawezekana ni ile issue ya millioni saba kila dakika!
Kuna uvuma ambao upo ambao unasema kwamba walikua wanacheza na mashine zile za Taasisi ya Mapato.

Olotu ni yule mwenye Olotu Trading ina'deal na hardware, Minja ana kampuni ya ufundishaji magari ya Modern. Na kuna yule owner wa Bulk pia.
 
Kuna uvuma ambao upo ambao unasema kwamba walikua wanacheza na mashine zile za Taasisi ya Mapato.

Olotu ni yule mwenye Olotu Trading ina'deal na hardware, Minja ana kampuni ya ufundishaji magari ya Modern. Na kuna yule owner wa Bulk pia.
Yule wa Elerai nilisikia naye anahusika, je amesalimika?
 
Kufetua risit fake ba hatimae kuikosesha serikali mapato.
Duhhh kama wamefanya hivyo itawaletea shida kubwa sanaaaa.

Kwanini wafanye hivyo na wakati wengi wao wana'support wapinzani.

Na sio vizuri wanavyofanya, wafanyakazi wanakatwa income tax iweje wenyewe wasilipe kodi?
 
Yule wa Elerai nilisikia naye anahusika, je amesalimika?
Hata mimi nimesikia huyo pia kakamatwa.

Hali inatisha wakuu, lakini kwanini nao wafanye hvyo kama ni kweli.

Wafanye biashara kihalali. Ni uhaini kuikosesha serikali mapato.
 
Ni kweli wamechukuliwa kwenda kuhojiwa, na hii yote ni wivu tu na watu wa kaskazini inaonekana eti ndio wafadhili wa chadema na wengi waliunga mkono Lowasa. Ila wameingia na gia ya kodi ajabu kubwa wote ni wafanyabiashara wakubwa na TRA ina rekodi zao.
We Ukanda kivipi si kama tetesi zinavyosema wanahojiwa basi uchadema umetoka wapi? Hiv kweli wasukuma wangekuwa na tabia kama hizo za kijinga......
 
Ni kweli wamechukuliwa kwenda kuhojiwa, na hii yote ni wivu tu na watu wa kaskazini inaonekana eti ndio wafadhili wa chadema na wengi waliunga mkono Lowasa. Ila wameingia na gia ya kodi ajabu kubwa wote ni wafanyabiashara wakubwa na TRA ina rekodi zao.
Ww kweli serikali ionee watu wivu! !!?
 
We ni Kaburu tu! Ukanda kivipi si kama tetesi zinavyosema wanahojiwa basi uchadema umetoka wapi? Hiv kweli wasukuma wangekuwa na tabia kama hizo za kijinga......Lofa kbs!
wewe ni , nani kakuambia kaskazini hakuna wasukuma?! Shida ya kutotoa mguu kwenye kijiji ulicho zaliwa ndio majibu yake haya.
 
Ni kweli wamechukuliwa kwenda kuhojiwa, na hii yote ni wivu tu na watu wa kaskazini inaonekana eti ndio wafadhili wa chadema na wengi waliunga mkono Lowasa. Ila wameingia na gia ya kodi ajabu kubwa wote ni wafanyabiashara wakubwa na TRA ina rekodi zao.
Mkuu nina uhakika hujui unachokisema, nakushauri weka siasa pembeni, hii operation ya wakwepa kodi ni kweli inawaandama watu wa kaskazini tu?????
 
Mkuu nina uhakika hujui unachokisema, nakushauri weka siasa pembeni, hii operation ya wakwepa kodi ni kweli inawaandama watu wa kaskazini tu?????
Naona serikali wamekua serious kidogo kwenye hii issue ya kodi.

Kwani tumeona hata wafanyabiashara mikoa ya Dar wamekamatwa si Arusha tu.
 
Ni kweli wamechukuliwa kwenda kuhojiwa, na hii yote ni wivu tu na watu wa kaskazini inaonekana eti ndio wafadhili wa chadema na wengi waliunga mkono Lowasa. Ila wameingia na gia ya kodi ajabu kubwa wote ni wafanyabiashara wakubwa na TRA ina rekodi zao.
Kamwe na haitatokea chama kikuondolee umaskini ulionao, pambana na maisha, mahaba ya ccm/chadema hayatabadili mfumo wako wa kiuchumi, weka siasa kando fanya kazi
 
Back
Top Bottom