Wafanyabiashara wachekelea kurudisha walichopoteza. Bei ya mafuta/petrol yazidi kupanda kuumiza maskini/watu wa kipato cha chini

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,321
11,410
Katika kinachoonekana kuwa ni survival of the fittest beii ya mafuta ya gari /petrol imezidi kupanda na kufika tsh 2510 kwa lita moja mwezi huu. Unapotoa tsh 20,000 unapata lita 7.9, kitu ambacho ni kuendelea kumuumiza Mtanzania huyu wa kipato cha chini maana yeye ndiye atakayekuja umia katika suala la upandaji wa bidhaa mbalimbali nchini pamoja na usafiri kwa ujumla.

Hawa wabunge, mawaziri na viongozi wa kiserikali hawatalalamika maana wanatumia kodi zetu katika kuhudumia hayo magari. Kwa wao hata lita moja ikiuzwa tsh 5,000 hawaathiriki sababu ofisi inawajazia magari yao ma V8 full tank na maisha yanaendelea. haya ndiyo maisha tuliyoyachagua.

Jamaa yangu mmoja amenipigia simu leo akinambia huku akicheka," nilikwambia mafuta lazima yapande maana kuna pesa nyingi tulipoteza kipindi kile"

Serikali imewasahau wananchi wanyonge watu wanaendelea kujipigia kila kinachowezekana kwa nafasi zao.
 
Katika kinachoonekana kuwa ni survival of the fittest beii ya mafuta ya gari /petrol imezidi kupanda na kufika tsh 2510 kwa lita moja mwezi huu. Unapotoa tsh 20,000 unapata lita 7.9, kitu ambacho ni kuendelea kumuumiza Mtanzania huyu wa kipato cha chini maana yeye ndiye atakayekuja umia katika suala la upandaji wa bidhaa mbalimbali nchini pamoja na usafiri kwa ujumla.

Hawa wabunge, mawaziri na viongozi wa kiserikali hawatalalamika maana wanatumia kodi zetu katika kuhudumia hayo magari. Kwa wao hata lita moja ikiuzwa tsh 5,000 hawaathiriki sababu ofisi inawajazia magari yao ma V8 full tank na maisha yanaendelea. haya ndiyo maisha tuliyoyachagua.

Jamaa yangu mmoja amenipigia simu leo akinambia huku akicheka," nilikwambia mafuta lazima yapande maana kuna pesa nyingi tulipoteza kipindi kile"

Serikali imewasahau wananchi wanyonge watu wanaendelea kujipigia kila kinachowezekana kwa nafasi zao.
CCM inang'ata haswa, safi sn mpaka kila mtu apate akili timamu
 
Katika kinachoonekana kuwa ni survival of the fittest beii ya mafuta ya gari /petrol imezidi kupanda na kufika tsh 2510 kwa lita moja mwezi huu. Unapotoa tsh 20,000 unapata lita 7.9, kitu ambacho ni kuendelea kumuumiza Mtanzania huyu wa kipato cha chini maana yeye ndiye atakayekuja umia katika suala la upandaji wa bidhaa mbalimbali nchini pamoja na usafiri kwa ujumla.

Hawa wabunge, mawaziri na viongozi wa kiserikali hawatalalamika maana wanatumia kodi zetu katika kuhudumia hayo magari. Kwa wao hata lita moja ikiuzwa tsh 5,000 hawaathiriki sababu ofisi inawajazia magari yao ma V8 full tank na maisha yanaendelea. haya ndiyo maisha tuliyoyachagua.

Jamaa yangu mmoja amenipigia simu leo akinambia huku akicheka," nilikwambia mafuta lazima yapande maana kuna pesa nyingi tulipoteza kipindi kile"

Serikali imewasahau wananchi wanyonge watu wanaendelea kujipigia kila kinachowezekana kwa nafasi zao.
Nakuona Mataga unapepea tuuu
Screenshot_20211201-132921_WhatsApp.jpg
 
TZS 2604 lita 1.
Na tunataraji mnamo 2025 petrol iuzwe 3,500 per litre mpaka akili ya kuwekeza kwenye gas ya kuendeshea magari itakapokuwa imekaa mahali pake!

Hizo tozo wanazookota humo wangeweka mpango wa kutengeneza LPG katika maeneo mbali mbali nchini tukaachana na mfumo wa kununua Petrol ningeona serikali ina akili sana!
 
Katika kinachoonekana kuwa ni survival of the fittest beii ya mafuta ya gari /petrol imezidi kupanda na kufika tsh 2510 kwa lita moja mwezi huu. Unapotoa tsh 20,000 unapata lita 7.9, kitu ambacho ni kuendelea kumuumiza Mtanzania huyu wa kipato cha chini maana yeye ndiye atakayekuja umia katika suala la upandaji wa bidhaa mbalimbali nchini pamoja na usafiri kwa ujumla.

Hawa wabunge, mawaziri na viongozi wa kiserikali hawatalalamika maana wanatumia kodi zetu katika kuhudumia hayo magari. Kwa wao hata lita moja ikiuzwa tsh 5,000 hawaathiriki sababu ofisi inawajazia magari yao ma V8 full tank na maisha yanaendelea. haya ndiyo maisha tuliyoyachagua.

Jamaa yangu mmoja amenipigia simu leo akinambia huku akicheka," nilikwambia mafuta lazima yapande maana kuna pesa nyingi tulipoteza kipindi kile"

Serikali imewasahau wananchi wanyonge watu wanaendelea kujipigia kila kinachowezekana kwa nafasi zao.
Safi sana, tutaenda na mama mpaka 2030 aliskika boya mmoja kilabuni!
 
Na tunataraji mnamo 2025 petrol iuzwe 3,500 per litre mpaka akili ya kuwekeza kwenye gas ya kuendeshea magari itakapokuwa imekaa mahali pake!

Hizo tozo wanazookota humo wangeweka mpango wa kutengeneza LPG katika maeneo mbali mbali nchini tukaachana na mfumo wa kununua Petrol ningeona serikali ina akili sana!
Iyo gas ya majumbani tu bei imeshindikana kuwa rafiki ndio ije kwa vitu vya anasa kama gari
 
Back
Top Bottom