Jengo la benki ya posta walifahamu? Basi ukimaliza lile jengo kama unakuja msimbazi police mtaa wa kwanza kata Kulia majengo yote matatu mkono wa kushoto ndio wauzaji wa viatu vya kike, usinunue kwa wale walomwaga nje mi wauzaji wa rejareja. Usiogope ingia ndani mkono wa kushoto zunguka vya kutosha fanya window shopping mjomba, by the way zipo sehemu nyingine ila anza na hapo ukifeli ni tag nije kukuelekeza.
Usiwe na papara mjini mawinga/madalari wengi
Kuhusu chupi ni sehemu nyingi, nyuma ya jengo la simba sport club mtaa ule upande wa pili kuna flame wanauza chupi jumla na rejareja, I kwa upande wa chupi za kike inakupaswa uzunguke, tena nenda asubuhi mapema kabla population na joto halijawa juu kukutia kuchoka mapema!
Maswali yasiwe mengi mda wa kulala huu
Nenda jukwaa la biashara Kuna mada inazungumzia machimbo ya maduka ya jumla kariakoo. Nimesahau jina la huo uzi
Ni sawa. Ukipata muda katafute huo uzi umeelezea machimbo yoteNiliomba msaada uko hakuna alw Nijinsky.nikaona niingie uku kwa wahenga wenzanguu maaana upande huu wako active sana
Si mbaya kama ukiweka page zengine unazozijua za nguo.Me maduka siyajui nawajua tu wauzaji na page zao insta..
Mashati mazuri na kadeti mtafte @cocosmarty insta
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok.. Simu je?Viatu kwa nairob vipo eneo linaitwa kamkunji, nguo utapata eslee kibao
Naomba uweke namba ya simuJUMLA NI KUANZIA PC 3 KWA ELFU 18 SIZE TOFAUTI TOFAUTI
Asante mtoa mada.....nami nafatilia kwa ukaribu kabisa hapa
Upo dar ama mkoani
Ukishindwa hadi hapo basi tena amekwambia ingia ndani madukani ukishindwa kabisaaaa ni whatsup 0765929586 nikupeleke madukaniNimekupata bro.ila nikishindwa kupapata ntakufahamisha.tnxs