mtafutaji2016
Senior Member
- Jun 19, 2016
- 105
- 46
Nenda ofisin kwao tvs wanauza kwa jumla ila inategemea unachukua mzigo wa sh ngap
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaefahamu duka wanalouza spea za bajaji aina ya TVS kwa jumla jumla anifahamishe please. Pia anaejua wapi nitapata muuzaji wa Oil za bajaji kwa bei ya jumla anisaidie. Thank you in Advance
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app