Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,570
- 3,054
Duka lako lipo sehemu gani hapo k/koo SisterNjoo dukani kariakoo utapata suruali kwa bei ya jumla
Duka lako lipo sehemu gani hapo k/koo SisterNjoo dukani kariakoo utapata suruali kwa bei ya jumla
Duka lako lipo sehemu gani hapo k/koo Sister
Suruali unaleta na za watoto miaka 10 -12?Yaani aggre/nyamwezi unafanya kama unapandisha kurudi congo ni mkono wa kushoto duka la pili kabla ya linalouza nguo za ndani
La kwanza Lina viatu
Upande wa kulia kuna matv
Ila suruali zimeisha mzigo upo njiani hopefully next week kama bandarini hawatazingua
Mmeshaanza?Hivi Karibuni kampuni yetu itaanzisha Huduma za kuwatafutia wafanyabiashara wa mikoani bidhaa wanazohitaji hapa DSM, au nje ya nchi. Tutachukua oda zenu, tutawapa bei, mtatuma pesa, tutanunua na kuwasafirishia mlipo. Tutawatoza ada kidogo tofauti na gharama ungezitumia kuna DSM na kurudi. Stay tuned!
NAOMBA KUELEKEZWA CHIMBO LA BIDHAA ZIFUATAZO, CHUPI ZA WATOTO, WAMAMA, WABABA KWA KARIAKOO KWA BEI YA JUMLA NI WAPI.Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za jumla? Maana wenyeji wengi hawapendi kutupeleka kwenye machimbo.
Ngoja nikupe machimbo best. Kizuri kula na mwenzio. Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule Mnazi Mmoja wengi wanaouza Kariakoo wanaenda kufuata huko. Viatu navyo vinapatikana huu Mtaa wa Narung'ombe na Congo pale nenda straight kwenye maduka ya Wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini, nop. Unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile vi-sandles wanauza 2500/pc. Cheni zama Mchikichi katikati kuna Mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki. Magauni nayo ingia ndanindani kule Congo na Aggrey, wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka ku-type ah!
Watakuja kukujibu, mie najua hayo maduka yalipo tatizo sijui majina ya mitaa ya kariakooNAOMBA KUELEKEZWA CHIMBO LA BIDHAA ZIFUATAZO, CHUPI ZA WATOTO, WAMAMA, WABABA KWA KARIAKOO KWA BEI YA JUMLA NI WAPI.
Samahani dada hivi chimbo la mabegi ya shule yale Biowang naweza kupata wapi na je mikeka ile ya kutandikia sebuleni kwa jumla inapatikana wapi nashkuru.Basi tulia kama muhusika hajanielewa anajua pa kuipatia namba yangu
Samahani dada hivi chimbo la mabegi ya shule yale Biowang naweza kupata wapi na je mikeka ile ya kutandikia sebuleni kwa jumls inapatikana wapi nashkuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
NAOMBA KUELEKEZWA CHIMBO LA BIDHAA ZIFUATAZO, CHUPI ZA WATOTO, WAMAMA, WABABA KWA KARIAKOO KWA BEI YA JUMLA NI WAPI.
Shukrani mkuu naomba nielekeze hata nusu utakuwa umenisaidia sana maduka ya mabegi jumla.Maduka nayajua ila napata tabu kukuelekeza
Kwa mikeka,ni upande wa chini wa soko
Shukrani dada ungenielekeza hata majina ya mitaa yanakopatikana mabegi kwa jumla na mikeka ya sebleni maana me nikijua mtaa nafika tu ahsante.Maduka nayajua ila napata tabu kukuelekeza
Kwa mikeka,ni upande wa chini wa soko
Kwa roller nipm namba yakoWakuu habari,
1) Nataka kufungua duka la kuuza aluminium na vifaa vyake, naomba kujua chimbo la uhakika la kupata mzigo wa jumla kwa bei yenye manufaa.
2) Naomba kujua duka linalouza roler kwa ajiri ya POS au risiti za EFD.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani dada mabegi ya shule biowang yale yanapatikana mitaa gani kwa jumla?Hahhahah sasa wewe mie mkali wa hizi kazi tokea nipo chuo kitamboo nimeivuruga sana hiyo k.koo hahah hadi leo nipo yaani na sibanduki ng'ooo inabidi tuwasaidie wenzetu bana maana haya maisha mtu akikuongezea jero kwenye product ni kubwa sanaaaa. Na hivi vyuma vimekaza acha tu na wenyewe wale ila si unajua mjini wasioujua bado wengi utawapata tu maana hawapo humu JF .
Ngoja niwape chimbo la pochi za bei rahisi zile ronya na za kati 6000,8000,12000 lipo maeneo ya nyamwezi karibu na soko la shimoni kale kamtaa cha kati uje utokee msimbazi kota,karibu wanapouza maturubali, lingine lipo mtaa wa congo na aggrey kwa juu ghorofani kama unataka kutoka congo kituo cha basi pale wanauza high quality PU zao 22k,25k,28k,30 nk ambazo ukikuta kwenye botique ni mwendo wa 50k,70k hadi 100k. Pia tena hiyohiyo congo/mchikichi pale katikati kwa ghorofani wanauza pochi eh bei chee tatizo lenu mnapita juu juu tu ingieni maduka ya ndani na chini yana mambo mazuri Wallet nazo mchikichi zipo za kumwaga za kiume na za kike bei chee hakikisha unaingia ndani kabisa kwenye vichochoro. Haya kwa wale wa mabegi ya kusafiria kuna mchina anazalisha mwenyewe maeneo ya Veta karibu na sofia house kule anakutengeneezea design unayotaka eh,pesa yako tu. Kuna kingine nimesahau? Danhappy
Msaada jinji ya kubadilisha jina la account fb ila account ibaki ileile