Vipo bei tofauti tofauti dear tafadhali kama hutojali niwhatsap nikutumie picha na bei uchagueViatu bei gani jumla
0767 113323, Makumbusho yupo. Bei ni kuanzia 35kNaomben mnielekeze ni wap nitapata Perfume za kupima.. sample tofauti...kama creed,invictus,..etc
Shukran.. Ila naona hiyo ni bei kubwa.. kwasababu kuna ujazo tofauti kuanzia mills 10,15,20,25,adi30 etc.. nilikuwa nahitaji kwa bei ya jumla...kwa ujazo tofauti....0767 113323, makumbusho yupo. Bei ni kuanzia 35k
Asante..kwa maana nilikuwa naitaji mzigo ata PC 12 kwa bei ya jumla..kwa ujazo mdogo kwa maana wateja ninaoenda kuwauzia nikwabei ya chini kidogo...Ila kwa huo ujazo wake ni mzuri ila ningepata chini ya hapo ingependeza...Yeye ujazo nadhani ni 50 na 100 mls only
Mpya mkubwa wanguUnahitaji mpya au used?
Mpya mkubwa wanguUnahitaji mpya au used?
Utakuwa umenisaidia sana boss wanguKuna wachine wapo pale ubungo business park wanauza vitu hivyo. Ngoja nikutafutie na namba ya mtu ninaemfahamu nae anauza bidhaa hizo pia
Mimi nipo kariakooo tupeane madili,napenda nipate wateja wapya walioko mikoani tufanye kazi
My wasap namba 0765929586
Kupiga 0622177413
Bei Ni cheeeeeee
Tupo KARIAKOO
Mtaa wa KONGO NA AGGREI
Jengo la Capetown underground
Frem/Duka Namba 5 View attachment 1592026View attachment 1592027View attachment 1592028View attachment 1592029View attachment 1592030
Ukiitaji jezi ni tag
nipo hapa mkuu
Vifaa Vya Kawaida (Basic) Vinapatikana Kariakoo Mtaa Aggrey Na Likoma.Mimi ni electronics technician, wapi ntapata vifaa vya kutengenezea simu la laptop.
Shukrani mkuu. Unaweza ukawa unajua duka specific kabisa ambapo nitapata kununua kwa bei ya jumla vitu kama RAM, HDD, screens za laptop na simu, batteries, adapters.Vifaa Vya Kawaida (Basic) Vinapatikana Kariakoo Mtaa Aggrey Na Likoma.
Vifaa Vya Utaalamu Zaidi (Advanced) Lazima Uagize China Via aliexpress Au Alibaba.
Goodluck.
0738 968 546 mcheki huyu for motorsMpya mkubwa wangu