Michael Paul
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 403
- 319
Bei zake zinaenda vp Mkuu?Nenda mtaa wa Msimbazi k'koo karibu na Banc ABC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei zake zinaenda vp Mkuu?Nenda mtaa wa Msimbazi k'koo karibu na Banc ABC
Karibu mtaa wa agrey na likomaNatafuta Chimbo la vifaa vya simu na computer kwa bei za jumla.
Zipo za bei tofauti, nafikiri kuanzia laki 9 mpaka 1.4mBei zake zinaenda vp Mkuu?
Umepita Mnazi?kuna vitenge vinaitwa java 3 (ukivaa vina mfumo wa nje ndani)
natafuta chimbo lake kwa bei nafuu kariakoo
kuna sehemu waliniambia doti 1 ni elfu 8 (piece 3 ndani)
Wapi ntapata bei chini zaidi?
Ninazo bei ya jumla 700 kwa mojaWadau naulizia chimbo la kupata zile kamba za kuvaa shingoni za kuning'inizia vitambulisho.
Nenda punga phone....mimi simu ya 3 hii nanunua pale kwao kila sehemu inasifiwa simu yangu tu.Yeyote anaefahamu machimbo ya sim Kali Kwa gharama nafuu kariakoo anisaidie
Nenda mtaa wa aggrey ulizia duka la punga...angalau simu zao zina ubora wa hali ya juu
Msimbazi A kituo cha mwendokasi
ShukraniNenda mtaa wa aggrey ulizia duka la punga...angalau simu zao zina ubora wa hali ya juu
Anaetaka vyombo classic jumla nimpe chimbo