The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Hiyo barua halisi iko wapi? Mtu ameamua kutype hapa ili atuaminishe kuwa walipeleka barua kwa rais wakati siku ya kikao na rais walitoa shida zao pale na zikatatuliwa palepale. Sasa haingii akili kuja na madai mapya au kuna remote control haikuwepo kwenye kikao. Sasa waamue kusuka au kunyoa yamebaki chini ya masaa 24.
Tuna comment tuki - assume kuwa ni halisi....
Kama siyo halisi, mtu kajiandikia tu basi itabaki kuwa hivyo hivyo kama ilivyokwisha amuliwa....