.. mi kuna nnaoview status zao na kuna wengine hata hyo tap tap tap sijigusi.Me huwa hata siziview nazi tap tap tap tap tuu basii...maana zinakaa kama vidudu vimepangana hivii aahh
Umeeleweka mr filth head
Pia unaweza kuwa na vitu tofauti na biashara. Mfano ushauri wa kutumia bidhaa zako au ukaamua kuweka na jokes watu wakafurahi yaani mtu akiona status yako tu basi anajua kuna kitu atapata. Aidha atacheka na kufurahi au ataona kitu kipya zaidi.
Ku-Mute mtu kwa sababu ya biashara zake ni utoto tu kwa sababu unaweza kuacha kufungua status zake na maisha yakaendelea. Sio lazima kusoma status zake za WhatsApp. Ila ipo siku utaona kitu kizuri
Kama mimi pia!Me huwa hata siziview nazi tap tap tap tap tuu basii...maana zinakaa kama vidudu vimepangana hivii aahh
Kuna rafiki jamaa kibao nimeshawamute wanapost matangazo kama ugomvi
Ahsante nitalifanyia kazi
unakuta mtu status imejaa vinukta mapica mia kidogo
Upo sahihi mi nikiona nying hiwa nazi gusa gusa tu ovyo ila mwwnye status pic chache nitaziviw
Kichwa kichafu upo sahihi Mkuu niliwahi pata Elimu kidogo kutoka kwa Prof wa matangazo alinidokeza baadhi ya haya uliyoyaandika kwenye matangazo ya biashara mafupi mafupi na bidhaa za kuuza maana alilisitiza pia unapofanya biashara angalia utafanya ipi kwa muda mrefu itakupatia hela na pia kuacha tabia ya kuruka ruka leo umeiacha hii umehamia ile unapoteza wateja uliowajenga mwanzo...inatakiwa kufanya tafiti mwanzo ya kutosha ili kuifanya hiyo biashara kuuza na upatikanaji wake...
Captured