Nawashauri wafanyabiashara muanze kupeleka samaki wa maji chumvi mwanza simiyu shinyanga geita na kahama.
Mkiweza kupeleka samaki akina ya changu ngisi na pweza mtakuwa mumefanya la maana sana. Sasa hivi watu wameogopa kununua samaki wa ziwa victoria kutokana na uhalifu unaoendelea.
Mkiweza kupeleka samaki akina ya changu ngisi na pweza mtakuwa mumefanya la maana sana. Sasa hivi watu wameogopa kununua samaki wa ziwa victoria kutokana na uhalifu unaoendelea.