frozen Senior Member Aug 12, 2010 135 32 Dec 12, 2012 #1 Sasa wafanyakazi wa serikali wanaweza pata mkopo maalumu kwaajiri ya kununua pikipiki za kuwarahisishia usafiri.
Sasa wafanyakazi wa serikali wanaweza pata mkopo maalumu kwaajiri ya kununua pikipiki za kuwarahisishia usafiri.
B blueray JF-Expert Member Sep 15, 2012 2,217 423 Dec 12, 2012 #2 Waachane na hizo bodaboda baada ya mwaka mmoja robo ya Wafanyakazi watakuwa wamepoteza maisha Na nusu watakuwa vilema!
Waachane na hizo bodaboda baada ya mwaka mmoja robo ya Wafanyakazi watakuwa wamepoteza maisha Na nusu watakuwa vilema!