Wafanya 'diet' hatarini kuwa dhaifu kiakili

Wataalamu wengine nuksi ..daah aliacha kitimoto michemsho ya kware na bia kisa dayati akisoma hapa si utafanya mabaharia mifuko yetu itoboke zidi ya hawa viwazi jeshi hawa ma slay queen

Slay queen anakula utasema ana utapiamlo au tumboni wapo wawili sjui wanakwama wapi slay queen wa ulaya anakunywa mvinyo tu anacheua

Huku bongo anakupoga pesa na bado anakumalizia akiba ya kwenye friji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataalamu wengine nuksi ..daah aliacha kitimoto michemsho ya kware na bia kisa dayati akisoma hapa si utafanya mabaharia mifuko yetu itoboke zidi ya hawa viwazi jeshi hawa ma slay queen

Slay queen anakula utasema ana utapiamlo au tumboni wapo wawili sjui wanakwama wapi slay queen wa ulaya anakunywa mvinyo tu anacheua

Huku bongo anakupoga pesa na bado anakumalizia akiba ya kwenye friji

Sent using Jamii Forums mobile app

mbona mi sikuli saana, au kwa kuwa mi sio slayqueen
 
Back
Top Bottom