Nihakika na kweli kama wewe ni mfanya Biashara Mkubwa hapa Tz,Kama ni mwanachama wa CDM na uko front line,lazima uwe umejipanga.Utafiti wangu mdogo nimegundua kuwa wako CCM si kwa kupenda,wanaogopa kufilisiwa na idara Mbalimbali za serilaki ya Magamba ikiwamo TRA...
Ukiwa CDM lazima uwe umejipanga,uwe msafi na uwe unaijua sheria na katiba ya nchi yakther wise hawakawii hata kukuambia umejenga katika eneo la wazi au eneo la makaburi vunja...
Magamba ni wanyanyasaji sana.Nawasilisha...
Ukiwa CDM lazima uwe umejipanga,uwe msafi na uwe unaijua sheria na katiba ya nchi yakther wise hawakawii hata kukuambia umejenga katika eneo la wazi au eneo la makaburi vunja...
Magamba ni wanyanyasaji sana.Nawasilisha...