Wafahamu wezi waliopongezwa na mwalimu Nyerere

KISIWAGA

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
8,024
16,490
Ilianza kama utani Shirika moja la enzi hizo za utawala wa mwalimu Nyerere lilokuwa na ukwasi wa kutosha enzi hizo lilipokea taarifa kutoka kwa wezi kuwa siku ya tarehe_ _ mwezi wa _ _ wangefika kufanya wizi wa fedha kidogo hapo kwenye jengo la shirika hilo

Basi viongozi wa shirika waliichukulia hii taarifa kwa uzito wakaiwasilisha kwa vyombo vya ulinzi na usalama nao bila hiyana wakaongeza askari wa kutosha wa kulinda jengo la shirika hilo bila kusubiria tarehe tajwa na wale wezi

Basi masaa yakapita siku zikapita mwisho tarehe tajwa na wale wezi ikafika,ulinzi ukaimalishwa,ziara za viongozi wa juu wa jeshi la polisi za kulitembelea jengo tajwa zikaongezeka.Kwa tathmini iliyofanywa na wakubwa wa jeshi la police ilionekana hakutakuwa na uwezekano wa mwizi kwenda kufanya wizi eneo hilo

Masaa yakapita,yakapita na kupita mara ghafla ikafika gari ya police ikiwa na maafisa wenye vyeo vya juu.Salute zikapigwa,pongezi zikatolewa halafu wakaingia ndani kuangalia hali ya usalama.Wameingia ndani mpaka kwa meneja,wamepewa viti wakae badala ya kukaa wakachomoa vyuma( mitutu) na kumpatia amri meneja ya kuyajaza mabegi waliyokuwa nayo pesa,meneja kafanya alivyoamriwa na kuwakabidhi mabegi yao,akapatiwa amri ya kuwasindikiza nje tena akiwa na tabasamu la maana

Maafisa na nyota zao wakafanikiwa kutoka wakiongozwa na mateka wao mpaka nje wakaingia kwenye gari lao wao na meneja haoooooo,meneja wakamtelekeza mahali fulani,wao haooo wakajiendea zao sehemu isiyojulikana bila hofu yoyote ya kuiba pesa za shirika la umma

Taarifa za wizi wa mapesa rundo ya shirika la umma zikamfikia Nyerere,mbinu iliyotumiwa na wezi akaelezwa,mwalimu Nyerere akajikuta ametabasamu na kuwamwagia pongezi tele wezi wenye akili zao
 
Ilianza kama utani Shirika moja la enzi hizo za utawala wa mwalimu Nyerere lilokuwa na ukwasi wa kutosha enzi hizo lilipokea taarifa kutoka kwa wezi kuwa siku ya tarehe_ _ mwezi wa _ _ wangefika kufanya wizi wa fedha kidogo hapo kwenye jengo la shirika hilo

Basi viongozi wa shirika waliichukulia hii taarifa kwa uzito wakaiwasilisha kwa vyombo vya ulinzi na usalama nao bila hiyana wakaongeza askari wa kutosha wa kulinda jengo la shirika hilo bila kusubiria tarehe tajwa na wale wezi

Basi masaa yakapita siku zikapita mwisho tarehe tajwa na wale wezi ikafika,ulinzi ukaimalishwa,ziara za viongozi wa juu wa jeshi la polisi za kulitembelea jengo tajwa zikaongezeka.Kwa tathmini iliyofanywa na wakubwa wa jeshi la police ilionekana hakutakuwa na uwezekano wa mwizi kwenda kufanya wizi eneo hilo

Masaa yakapita,yakapita na kupita mara ghafla ikafika gari ya police ikiwa na maafisa wenye vyeo vya juu.Salute zikapigwa,pongezi zikatolewa halafu wakaingia ndani kuangalia hali ya usalama.Wameingia ndani mpaka kwa meneja,wamepewa viti wakae badala ya kukaa wakachomoa vyuma( mitutu) na kumpatia amri meneja ya kuyajaza mabegi waliyokuwa nayo pesa,meneja kafanya alivyoamriwa na kuwakabidhi mabegi yao,akapatiwa amri ya kuwasindikiza nje tena akiwa na tabasamu la maana

Maafisa na nyota zao wakafanikiwa kutoka wakiongozwa na mateka wao mpaka nje wakaingia kwenye gari lao wao na meneja haoooooo,meneja wakamtelekeza mahali fulani,wao haooo wakajiendea zao sehemu isiyojulikana bila hofu yoyote ya kuiba pesa za shirika la umma

Taarifa za wizi wa mapesa rundo ya shirika la umma zikamfikia Nyerere,mbinu iliyotumiwa na wezi akaelezwa,mwalimu Nyerere akajikuta ametabasamu na kuwamwagia pongezi tele wezi wenye akili zao
Nakumbuka story hii tumesimuliana sana vijiweni miaka 70 kuelekea 80.
 
Dogo tulia mpaka pale wezi wenyewe waliopiga hili tukio wamalize kula pasaka waje wakufafanulie walivyomuacha kinywa wazi mwalimu Nyerere
Najiuliza hapa kwa umri wangu huu unaniita dogo, wewe utakuwa mzee kiasi gani bwana mkubwa!
 
Ilianza kama utani Shirika moja la enzi hizo za utawala wa mwalimu Nyerere lilokuwa na ukwasi wa kutosha enzi hizo lilipokea taarifa kutoka kwa wezi kuwa siku ya tarehe_ _ mwezi wa _ _ wangefika kufanya wizi wa fedha kidogo hapo kwenye jengo la shirika hilo

Basi viongozi wa shirika waliichukulia hii taarifa kwa uzito wakaiwasilisha kwa vyombo vya ulinzi na usalama nao bila hiyana wakaongeza askari wa kutosha wa kulinda jengo la shirika hilo bila kusubiria tarehe tajwa na wale wezi

Basi masaa yakapita siku zikapita mwisho tarehe tajwa na wale wezi ikafika,ulinzi ukaimalishwa,ziara za viongozi wa juu wa jeshi la polisi za kulitembelea jengo tajwa zikaongezeka.Kwa tathmini iliyofanywa na wakubwa wa jeshi la police ilionekana hakutakuwa na uwezekano wa mwizi kwenda kufanya wizi eneo hilo

Masaa yakapita,yakapita na kupita mara ghafla ikafika gari ya police ikiwa na maafisa wenye vyeo vya juu.Salute zikapigwa,pongezi zikatolewa halafu wakaingia ndani kuangalia hali ya usalama.Wameingia ndani mpaka kwa meneja,wamepewa viti wakae badala ya kukaa wakachomoa vyuma( mitutu) na kumpatia amri meneja ya kuyajaza mabegi waliyokuwa nayo pesa,meneja kafanya alivyoamriwa na kuwakabidhi mabegi yao,akapatiwa amri ya kuwasindikiza nje tena akiwa na tabasamu la maana

Maafisa na nyota zao wakafanikiwa kutoka wakiongozwa na mateka wao mpaka nje wakaingia kwenye gari lao wao na meneja haoooooo,meneja wakamtelekeza mahali fulani,wao haooo wakajiendea zao sehemu isiyojulikana bila hofu yoyote ya kuiba pesa za shirika la umma

Taarifa za wizi wa mapesa rundo ya shirika la umma zikamfikia Nyerere,mbinu iliyotumiwa na wezi akaelezwa,mwalimu Nyerere akajikuta ametabasamu na kuwamwagia pongezi tele wezi wenye akili zao
Hii ni chai kama chai za enzi hizo
 
Najiuliza hapa kwa umri wangu huu unaniita dogo, wewe utakuwa mzee kiasi gani bwana mkubwa!
Nyie binadamu mkizeeka sana huwa mnakuwa na miaka 70 wakati umri huo kwa sisi majini tunakuwa bado watoto wa kindergarten
 
1649930011808.jpg
 
sio chai kweli hii? maana tuliambiwa Nyerere alikuwa na kifimbo. Siku moja akakisahau wanajeshi 8 wakashindwa kukibeba
kuhusu kifimbo ni kweli mkuu
hata mara ya mwisho nilipoendda KOLELO MZIMUNI mwishoni mwa mwaka 2000
nilipishana na familia yake ikikirudisha kule
kutokana kilikuwa kina wasumbua
na hakuna yoyite aliyekirithi
 
Back
Top Bottom