Uchaguzi 2020Wafahamu watu 75 waliokuwa wabunge wa CCM walioliwa kichwa na kukosa uteuzi. Wamo Mwakyembe, Tizeba, Nkamia, Chenge, Adadi, Ngeleja, Masele nk
Nkamia alidhani hoja yake ya kumwongezea muda wa kutawala Meko ingembeba! Ndio ajue ishu za kuongezeana muda zinakera wengi.....! Wamegoma kumuongezea yeye muda! Yaan ofyo sana haka kajamaa!
Tuambieni kiutafiti hao walioshindwa au kukatwa walikua wanakubalika?? Je kama nchi tutakosa nini kutoka kwao??
Mimi nitamkosa Mzee Chenge..Mtu aina ya Chenge ni Guru, hawa hata Kule Us wanakua sasa Masenator.
Chenge ni Mbobevu kumkosa kule ndani naamini halikua jambo zuri/ sahihi.
Mtu Mwingine ambae tutamkosa au kimmis ni Peter Serukamba naona alikua na uthubutu na hilo ni jambo jema kisiasa.Lakini yote kwa yote wameshakatwa maisha yataenda mbele.
Anguko baya zaidi kwa wote ni Kange Lugola..Kutoka kuwa Waziri Wa Mambo ya ndani katika kipindi kifupi tu mpaka kuwa raia wa kawaida.Yeye nadhani atakua balozi mzuri kwamba kweli cheo no dhamana na kwamba hivi vyeo vya umma kweli ni vya umma.
NIWATAKIE kila la kheri nyote mliokatwa katika maisha mapya.
Rose Mwanjelwa ni yule clip yake ilivuja....?
Maghembe
Nagu
Chenge
Kawambwa
Mkono
Kamata
Toka nazaliwa nawasikia ni wabunge.....na sasa nina miaka 52......watoke tu damu changa zifanye kazi.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.