Alitangaza tangu awali kwamba anang'atuka na hivyo hakugombea tena.Naomba kuuliza huyu mama Tibaijuka alikuwa ametia nia tena?
Hamjielewi kwa hiyo mnategemea kushinda kupitia waliokatwa CCM?Unabisha hao wote wanaenda kuuza ramani kwa Lissu ngoja ccm mwaka huu mnapotezwa acha kukariri hakuna pakutokea anga zote zimefungwa
Alitangaza mapema Sana kwamba hatagombea na aliaga bungeni kwa heshima kabisa. Sasa chadema wanapotosha eti kakatwa ahamie kwa Lissu ampe ramani ya kushinda! Hawa wanataka kwenda ikulu kweli?Naomba kuuliza huyu mama Tibaijuka alikuwa ametia nia tena?
Prof Tibaijuka katu hskutia nia safari hii na hivyo hakupigiwa kura za maoni.Naomba kuuliza huyu mama Tibaijuka alikuwa ametia nia tena?
Mwenyekiti mwenyewe ilitoka form moja tu yakwake tu akapipita bila kupingwa mwenzake Tundu Lissu walichuka form wengi ndani ya chama chao na Lissu akaibuka mshindi kwaiyo ccm ni mazingaombwe matupu aijulika nfumo gani tunatumia kupata wangombea chama kimekua mali ya kikundi cha watu wachache ngoja tuuze ramani kwa maadui tukose wote ukimwaga mboga namwaga ugali ili twende sawaWajumbe wengine walikubaki kupokea Rushwa!
Hii orodha ina walakini. Prof. Tibaijuka a.k.a Sister T, alitangaza mapema kuwa hagombei tena ubunge awamu hii. Iweje sasa mleta mada umuweke kwenye orodha ya waliokatwa wakati hakushiriki mchakato!?Prof. Anna Tibaijuka (Muleba Kusini) ,
Nadhani panga lilitakiwa kuanzia kwa wajumbe. Udhibiti utatakiwa kuanzia huku kwa wajumbe..Wajumbe wengine walikubaki kupokea Rushwa!
Akili zako hazina akiliFake news.
Mtu kama Tibaijuka kakataa mwenyewe na kaaga na kuaga bungeni, hapa wanamchanganya na waliokatwa. Vile vile Nimrod Mkono, hakutaka hata kuingia kura za maoni. Au mtu kama Lijualikali, wamemuingiza mpaka Lijualikali kwenye hiyo listi. Hivi Juakali alikuwa mbunge wa CCM?
Which means kuna wengi humo si ajabu wamekataa wenyewe kuendelea.
Yuko karudi kwao kolomijeBashite vipi mbona simuoni? Huyu jamaa basi tuu duniani Kuna Watu wa ajabu sana
Akili zako hazina akili
Andika yako Bhasi wewe muandishii makinii...!!Mkuu wewe ni pumba samahani sana.
Hiki ulichoandika kinakosa ukweli na inabidi kiitwe dis information.
Kama una uelewa wowote tofautisha kati ya wale walioshindwa kura za maoni na waliokatwa au kuenguliwa kugombea ubunge, japo wameshinda kura za maoni.
Tukiwa na waandishi aina yako Tanzania inakosa kuwa na waandishi makini na wenye weledi wa habari.