FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
Tulishawaambia wachagga tumeshahama kwenye uchuuzi hawakutaka kutuelewa..Washamba wanakuja kulinganisha wachaga na wakinga.
Tulishawaambia wachagga tumeshahama kwenye uchuuzi hawakutaka kutuelewa..Washamba wanakuja kulinganisha wachaga na wakinga.
Heh, basi nilijua machange si mchagga mwenzetu.Harold Temu from Marangu:-, huyu jamaa alifiwa na mzazi wake, huo msiba ulikuwa na Ambulance, watu alikata maji kama mamba ukizidiwa na pombe unapandishwa kwenye ambulance kupelekwa hospital.
Ndio watu wa mwanzo mwanzo kufanya biashara ya kusaga mahindi na kuuza unga kwenye mifuko/viroba
John Machange from Mwika ni Engineer by professional, alisoma Computer huko Ulaya enzi hizo computer haijafika Tanzania.
Huyu mzee alimpaga hela mdogo wake amtengenezee tofali za kujenga gorofa pale kijijini, Machange alivyokuja akaziangalia zile tofali, akachukua kama tofali 5 akazitupa hapo chini zikavunjika.
Akaamua kumpa mdogo wake tofali zote bure akafyetua nyingine akajenga gorofa pale kijijini miaka hiyo ya zamani. Wazee wa mwanzo kujenga gorofa kijijini.
yaani... Karibu Sembeti Marangu MkuuI'm proud to born in chaga land.
hapo pa kutofautisha masikini na matajiri. Yes, hiwa hizi koo zetu zimegawanyika sana. Hawa wazee wana hulka ya kuhamahama sana hasa pakiwa na ugomvi baina yao ama ardhi ikiwa adimu.Pale Mwika kuna Machange mbili:-
Wanajiita Machange Ng'ombe - Matajiri
Machange mbuzi - Maskini
Wote ukoo mmoja
Asante mkuu, mm ni jirani yako kabisa wa pale rombo shimbi kati.yaani... Karibu Sembeti Marangu Mkuu
Nakja msashaaa..Asante mkuu, mm ni jirani yako kabisa wa pale rombo shimbi kati.
Ng'sha meku wakwa, te amba undi.Nakja msashaaa..
Lyakurwa,machange wote wachaga hao hiyo list wachaga wako 8Shirima,Macha,Masawe, Urio daah Mungu awabariki sana
Mkinga elimu hana zaidi ya kupiga tunguliWashamba wanakuja kulinganisha wachaga na wakinga.
Yaan wameng'fanya nahani msoro? Ngifilika ndiyo ngiktreliye fyaooNg'sha meku wakwa, te amba undi.
Mbutaaaa, hai na hai tikii maktambiko utavike ado ku.Yaan wameng'fanya nahani msoro? Ngifilika ndiyo ngiktreliye fyaoo
Hayo makampuni waliyoweka pesa zao si yana operate!? Mfano CRDB, NMB nk. Basi hao wanaofanya hizo operation yani kazi za kila siku ni waajiriwa hao, ma-CEO, wahasibu, hadi mtu wa chini kabisa kama mfanya usafi. Naamini umeelewa kidogo...Hisa zinatengeneza ajira Gani?
EHwaa Asante sanaHayo makampuni waliyoweka pesa zao si yana operate!? Mfano CRDB, NMB nk. Basi hao wanaofanya hizo operation yani kazi za kila siku ni waajiriwa hao, ma-CEO, wahasibu, hadi mtu wa chini kabisa kama mfanya usafi. Naamini umeelewa kidogo...
Pamoja, naona humu badala ya kujifunza tunabishana ukabila aisee. Tz tunashida sanaa. Mimi sio mchaga lakini najua baadhi ya tamaduni zao, ni wawekezaji wazuri sana, hawaogi ku risk pesa zao kwa hofu ya kufilisika, wapambanaji ndio maana wapo sehemu nyingi hapa Tanzania, wanajua kudeal na pesa ndiyo maana wanaitwa wabahiri coz hawezi tumia pesa kwenye kitu ambacho hakitamuongezea pesa.E
EHwaa Asante sana
Hahaha ngamkumbwa maushiva ndaondi. Hai na hai maktautiMbutaaaa, hai na hai tikii maktambiko utavike ado ku.
These Chagga aisee,ndo maana nawaza kuoa Massawe